Tag: UREMBO
- by adminleo
- July 31st, 2018
ULIMBWENDE: Njia rahisi za kutokomeza chunusi usoni
Na MARGARET MAINA [email protected] CHUNUSI ni ugonjwa wa ngozi unaowaathiri watu wengi katika kipindi fulani cha maisha yao;...
- by adminleo
- July 31st, 2018
ULIMBWENDE: Mbinu 8 bora za kulainisha ngozi
Na MAGGY MAINA [email protected] BILA shaka mtu aliye na akili razini huhitaji ngozi laini na nyororo ili kujipa ujasiri wa...
- by adminleo
- June 27th, 2018
UREMBO: Jinsi ya kujipaka vipodozi msimu wa baridi
Na PAULINE ONGAJI Msimu wa baridi umebisha na kama kawaida sharti mtindo wa maisha kidogo ubadilike. Mapambo pia hayajasazwa kwani...
- by adminleo
- June 11th, 2018
Kidosho apaka mboni ya macho rangi na kupasua ulimi kama wa nyoka
Na MASHIRIKA SYDNEY, AUSTRALIA MWANAMKE ameamua kupaka mboni ya macho yake rangi ya samawati na kufanyia ulimi upasuaji uwe kama wa nyoka...
- by adminleo
- March 5th, 2018
BI TAIFA FEBRUARI 28, 2018
LUCY Njoki, 21, anatupambia tovuti yetu siku ya mwisho ya Februari. Anapenda kuimba, kushiriki mashindano ya urembo na kupiga picha. Picha/...
- by adminleo
- February 14th, 2018
BI TAIFA VALENTINO DEI 2018
KAREN Kappuch anatupambia ukurasa wetu Valentino Dei ya mwaka huu. Yeye ni mwanamitindo jijini Nairobi na anaenzi kuimba, kusikiliza...
- by adminleo
- February 12th, 2018
BI TAIFA FEBRUARI 12, 2018
AISHA Ahmed, 21, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anapenda kutazama filamu na kusafiri. PICHA/ ANTHONY OMUYA