Tag: utamaduni
- by adminleo
- October 11th, 2021
LEONARD ONYANGO: Siku ya Utamaduni ilifaa kuadhimishwa kipekee
Na LEONARD ONYANGO HATUA ya serikali kutangaza Oktoba 10 kuwa Siku ya Utamaduni bila kuandaa maadhimisho ya kitaifa, ni kazi...
Kenya kuadhimisha Siku ya Utamaduni
Na WINNIE ONYANDO SERIKALI imetangaza Jumatatu kuwa siku ya mapumziko, Kenya ikiadhimisha kwa mara ya kwanza Siku ya Utamaduni Oktoba...
Wamaragoli wanaoishi Uganda watarajiwa kutambuliwa rasmi
Na BAMUTURAKI MUSINGUZI BAADA ya miongo kadhaa ya kuishi vivulini katika taifa ambalo wamelifahamu kama nyumbani, wanajamii wa Maragoli,...
Uchumi, sanaa na desturi za kabila la Wadigo uswahilini
NA HAWA ALI Zaidi ya kuwa Wadigo wengi huishi katika katika Mkoa wa Tanga, hasa kwenye mji wa Tanga, wako Kenya wanakoishi upande wa...
Wazee Kisumu wataka serikali iwarejeshee joka lao la Omieri
Na ELIZABETH OJINA WAZEE kutoka eneobunge la Nyakach, Kaunti ya Kisumu sasa wanataka serikali irejeshe mabaki ya joka maarufu tena la...
‘Firirinda’ yapata umaarufu wa kipekee lakini mtunzi amesalia maskini
SIMON CIURI NA WANGU KANURI Mshairi wa mapenzi, Percy Bysshe Shelley, katika shairi lake 'To a Skylark,' lililochapishwa mwaka wa 1820...
Usiwatambue Wapemba kwa vilemba pekee, wana sifa nyingine tumbi nzima
Na HAWA ALI PEMBA ni kisiwa kilichoko pembezoni mwa mwambao wa pwani ya Afrika Mashariki; kwenye bahari ya Hindi. Kisiwa hiki ni cha...
Usasa ulivyoyeyusha utamaduni wa Ameru
NA WACHIRA ELISHAPAN Jamii nyingi humu nchini zimekumbatia usasa wa mabara Amerika na Ulaya ambao kulingana na wazee wa jamii ya Ameru...
Seneta Ledama Ole Kina aruhusiwa kuvaa mavazi ya kimaasai bungeni
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Seneti Kenneth Lusaka ametoa uamuzi kwamba maseneta wanaruhusiwa kuvalia mavazi ya kitamaduni...
Wachonyi walia mradi wa utamaduni kucheleweshwa
Na MAUREEN ONGALA KWA umbali unapokaribia ofisi ya Naibu Kamishina wa Chonyi iliyo katika kata ya Bandarasalama eneo bunge la Kilifi...
- by adminleo
- June 20th, 2020
Pigo kwa Wabukusu tohara ikiahirishwa
Na BRIAN OJAMAA UTAKUWA mwaka wa kusahau kwa wakazi wa magharibi hasa jamii-ndogo ya Wabukusu kwani utamaduni wanaouthamini sana wa...
- by adminleo
- April 26th, 2020
Corona ilivyobadilisha mila za Wabukusu
NA HOSEA NAMACHANJA Kabila la Wabukusu ni mojawapo ya makabila ya jamii ya Waluhya inayopatikana magharibi mwa Kenya. Kabila hili...