• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 8:55 PM

Msitumie mavazi yetu asili kiholela – Wazee wa Agikuyu

Na MACHARIA MWANGI WAZEE wa jamii ya Agikuyu wameghadhabishwa na tabia ya baadhi ya wanasiasa kuvaa mavazi ya kitamaduni ya jamii hiyo...

KCPE: Tamaduni zawazuia wazazi kusheherekea matokeo bora

NA WAIKWA MAINA HUKU shamrashara za matokeo ya Mtihani wa KCPE zikiendelea kote nchini, familia za baadhi ya watahiniwa walilazimika...

Wagiriama warejeshewa sanamu zilizokuwa zimefichwa Uingereza

Na MISHI GONGO WAZEE wa Kaya katika jamii ya Wagiriama Jumatatu walishukuru serikali za Kenya na Marekeni kwa kuwarudishia baadhi ya...

Emitik wakali wa nyimbo za kitamaduni tamashani

NA RICHARD MAOSI Tamasha za muziki 2019 katika Kaunti ya Nakuru zilitamatika Jumamosi kwenye shule ya wavulana ya Utumishi Boys Academy...

MURANG’A: Wanawake waliolaani wanao hutakaswa kupitia ngono hadharani

Na MWANGI MUIRURI MZEE Muiruri Waithaka (pichani) katika kijiji cha Rwanganga, Kaunti Ndogo ya Kigumo, Kaunti ya Murang’a hujipa...

KOIGARO FALLS: Eneo wazee wa Kalenjin walikuwa wanajirusha kwa kuamini ‘kifo kimewasahau’

NA RICHARD MAOSI MLIMA wa Koigaro Falls katika eneo la Biribiriet, Kaunti ya Nandi, unasifika kutokana na historia yake ndefu, ya...

Tamaduni za Wamakonde sasa kuhifadhiwa Bomas

Na KNA UTAMADUNI wa kabila la Makonde ambalo liliidhinishwa kuwa la 43 humu nchini sasa utahifadhiwa na kuonyeshwa katika maonyesho ya...

UTAMADUNI: Ngombe 14 wanatosha kufidia kifo cha mwana – Familia

Na PIUS MAUNDU FAMILIA ya mwanaume aliyeuwawa kutokana na mzozo wa Sh50 katika katika Kaunti ya Makueni, imekubali kupokea ng’ombe 14...

Vijana wapanga kuvumisha utamaduni

Na KAZUNGU SAMUEL BARAZA la vijana kuhusu turathi na utamaduni Jumapili lilisema kwamba litaanzisha mikakati kabambe ya kuvumisha...

UTAMADUNI: Eneo ambako kina baba na watoto hutengewa titi kunyonya

Na SHABAN MAKOKHA Kwa ufupi: Wanaume wa Butere wafichua kwamba wao hunyonya matiti za wake zao ili kuondoa mikosi na kuzuia...