Tag: utamaduni
- by adminleo
- December 27th, 2019
Msitumie mavazi yetu asili kiholela – Wazee wa Agikuyu
Na MACHARIA MWANGI WAZEE wa jamii ya Agikuyu wameghadhabishwa na tabia ya baadhi ya wanasiasa kuvaa mavazi ya kitamaduni ya jamii hiyo...
- by adminleo
- November 21st, 2019
KCPE: Tamaduni zawazuia wazazi kusheherekea matokeo bora
NA WAIKWA MAINA HUKU shamrashara za matokeo ya Mtihani wa KCPE zikiendelea kote nchini, familia za baadhi ya watahiniwa walilazimika...
- by adminleo
- July 30th, 2019
Wagiriama warejeshewa sanamu zilizokuwa zimefichwa Uingereza
Na MISHI GONGO WAZEE wa Kaya katika jamii ya Wagiriama Jumatatu walishukuru serikali za Kenya na Marekeni kwa kuwarudishia baadhi ya...
- by adminleo
- June 9th, 2019
Emitik wakali wa nyimbo za kitamaduni tamashani
NA RICHARD MAOSI Tamasha za muziki 2019 katika Kaunti ya Nakuru zilitamatika Jumamosi kwenye shule ya wavulana ya Utumishi Boys Academy...
- by adminleo
- May 28th, 2019
MURANG’A: Wanawake waliolaani wanao hutakaswa kupitia ngono hadharani
Na MWANGI MUIRURI MZEE Muiruri Waithaka (pichani) katika kijiji cha Rwanganga, Kaunti Ndogo ya Kigumo, Kaunti ya Murang’a hujipa...
- by adminleo
- April 22nd, 2019
KOIGARO FALLS: Eneo wazee wa Kalenjin walikuwa wanajirusha kwa kuamini ‘kifo kimewasahau’
NA RICHARD MAOSI MLIMA wa Koigaro Falls katika eneo la Biribiriet, Kaunti ya Nandi, unasifika kutokana na historia yake ndefu, ya...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Tamaduni za Wamakonde sasa kuhifadhiwa Bomas
Na KNA UTAMADUNI wa kabila la Makonde ambalo liliidhinishwa kuwa la 43 humu nchini sasa utahifadhiwa na kuonyeshwa katika maonyesho ya...
- by adminleo
- September 11th, 2018
UTAMADUNI: Ngombe 14 wanatosha kufidia kifo cha mwana – Familia
Na PIUS MAUNDU FAMILIA ya mwanaume aliyeuwawa kutokana na mzozo wa Sh50 katika katika Kaunti ya Makueni, imekubali kupokea ng’ombe 14...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Vijana wapanga kuvumisha utamaduni
Na KAZUNGU SAMUEL BARAZA la vijana kuhusu turathi na utamaduni Jumapili lilisema kwamba litaanzisha mikakati kabambe ya kuvumisha...
- by adminleo
- April 1st, 2018
UTAMADUNI: Eneo ambako kina baba na watoto hutengewa titi kunyonya
Na SHABAN MAKOKHA Kwa ufupi: Wanaume wa Butere wafichua kwamba wao hunyonya matiti za wake zao ili kuondoa mikosi na kuzuia...