• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 2:31 PM
KASHESHE: Xenia aingizwa mradi wa Spotify

KASHESHE: Xenia aingizwa mradi wa Spotify

NA SINDA MATIKO

MSUPA Xenia Manasseh amekuwa staa wa hivi punde Mkenya, kuingizwa kwenye mradi wa EQUAL unaondeshwa na kampuni ya kusambaza na kupakia muziki Spotify.

Mradi huu, ulibuniwa mahususi kuwapiga sapoti wanamuziki wa kike ibukia.

“Hii ni heshima kubwa, wameniheshimisha na sikuichukulia kawaida sana. Sapoti kama hizi ndizo zinatuweka mjini baadhi yetu,” amesema Manasseh.

Mastaa wengine Wakenya waliofanikiwa kuingia kwenye mradi wa EQUAL ni pamoja na Nikita Kering, Muthoni The Drummer Queen na Silvia Ssaru.

  • Tags

You can share this post!

ABC Jam City ya Athi River yaeneza injili kwa ustadi mkubwa

KIKOLEZO: Hii ‘Real Housewives of Nairobi’...

T L