NA MWORIA MUCHINA
MJUSI kafiri anayeitwa satanic leaf-tailed gecko, anafanana na jani lililokauka.
Hii humsaidia kujificha ili asionekane na maadui.
Mjusi huyo pia hutumia kufanana na matawi ya msituni kuwavizia na kuwavamia viumbe na wadudu ambao huwala kama kitoweo.