• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 2:29 PM
Green Eagle FC yabanduliwa nje Taifa Ngano Cup

Green Eagle FC yabanduliwa nje Taifa Ngano Cup

NA ABDULRAHMAN SHERIFF

MABINGWA mara mbili wa Taifa Ngano Super Cup, Green Eagles FC ilibanduliwa nje ya mashindano ya Taifa Ngano Super Cup ilipofungwa mabao 2-1 na mahasimu wao Fetuwe FC kwenye mechi ya robo fainali.

Kwenye mchezo huo uliovutia halaiki ya mashabiki wa soka Mombasa na vitongoji vyake, Fetuwe ilijihakikishia ushindi kupitia kwa wafungaji Ali Ghalia na John Otieno.

  • Tags

You can share this post!

IMLU yatoa takwimu kuhusu mauaji ya kiholela nchini

Chepng’etich na Kipruto mibabe Chicago Marathon

T L