• Nairobi
  • Last Updated May 16th, 2024 8:50 PM
Mbunge akosoa vikali hatua ya chama kwa kujiunga na Ruto

Mbunge akosoa vikali hatua ya chama kwa kujiunga na Ruto

NA LUCY MKANYIKA

MBUNGE wa Mwatate, Bw Andrew Mwadime, amekashifu Chama cha Communist (CPK) kwa kujiunga na Naibu Rais William Ruto.

Mbunge huyo aliondoka CPK dakika za mwisho na kuwa mgombeaji huru wa ugavana Taita Taveta.

Alisema walikuwa wamekubaliana chama hicho kisingeingia katika muungano wowote.

Hata hivyo, hakufafanua kama atamuunga mkono kinara wa ODM, Bw Raila Odinga kuwania urais.

  • Tags

You can share this post!

TAHARIRI: Wanafunzi wasinyimwe masomo kwa sababu ya karo

Isaack Hassan na aliyekuwa naibu wake, Zaja, waelekea kuwa...

T L