Tag: raila
- by adminleo
- July 18th, 2019
Mutua, Raila wakutana na kujadili masuala ya ‘kupeleka taifa mbele’
Na CHARLES WASONGA HATUA ya Gavana wa Machakos Alfred Mutua kumtembelea kiongozi wa ODM Raila Odinga imepewa fasiri ya maandalizi ya...
- by adminleo
- June 16th, 2019
Uhuru, Raila wakutana kisiri ufuoni
Na CAROLINE WAFULA na VICTOR RABALLA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Raila Odinga, Ijumaa jioni walifanya mkutano wa kisiri...
- by adminleo
- June 5th, 2019
HANDISHEKI: Raila awaka
Na SAMWEL OWINO, PETER MBURU na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga, amekasirishwa na jinsi wakuu wa chama hicho...
- by adminleo
- June 1st, 2019
Acha kutajataja Raila, wabunge wamuonya Ruto
Na RUTH MBULA na JOSIAH ODANGA VIONGOZI wa ODM kutoka Nyanza wamemtaka Naibu Rais William Ruto akome kumdharau kiongozi wa chama chao...
- by adminleo
- May 25th, 2019
Mrengo wa Ruto wataka Raila aandikishe taarifa kuhusu sakata ya dhahabu bandia
Na CHARLES WASONGA na DPPS BAADHI ya wabunge wa Jubilee kutoka Narok wamemtaka Mkurugenzi wa Upelelezi wa Jinai (DCI) George Kinoti...
- by adminleo
- May 25th, 2019
Gusa Matiang’i uone – Raila
Na RUTH MBULA na JOSIAH ODANGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amewakashifu vikali wale wanaomlaumu Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred...
- by adminleo
- May 18th, 2019
ODM kuadhibu ‘waliopanga’ kumzoma Raila
Na RUSHDIE OUDIA CHAMA cha ODM kimeapa kuadhibu vikali wahusika waliosababisha kiongozi wa chama hicho, Bw Raila Odinga kuzomwa wakati...
- by adminleo
- May 11th, 2019
Sitafuti kiti cha kisiasa, asisitiza Raila
Na CAROLINE WAFULA na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga amesisitiza kwamba msimamo wake wa kuungana na Rais Uhuru...
- by adminleo
- May 9th, 2019
Ripoti ya ukaguzi yabashiri kuporomoka kwa ODM bila Raila
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimeanzisha juhudi za kujiimarisha upya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022 baada ya ripoti ya uchunguzi...
- by adminleo
- April 24th, 2019
Raila kuwania urais 2022, asema Sifuna
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM Jumatano kilitoa dalili za waziwazi kwamba kiongozi wake Raila Odinga huenda akawania uraia kwa mara ya...
- by adminleo
- March 29th, 2019
Watetezi raia, au wabinafsi?
Na BENSON MATHEKA VITA vikali vya kisiasa kati ya Naibu Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM, Raila Odinga vinaongozwa na ubinafsi, wala...
- by adminleo
- March 25th, 2019
Handisheki itamfikisha Raila Ikulu – ODM
Na VALENTINE OBARA CHAMA cha ODM kimekiri kuwa muafaka kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa chama hicho, Bw Raila Odinga...