• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 5:10 PM

Mutua, Raila wakutana na kujadili masuala ya ‘kupeleka taifa mbele’

Na CHARLES WASONGA HATUA ya Gavana wa Machakos Alfred Mutua kumtembelea kiongozi wa ODM Raila Odinga imepewa fasiri ya maandalizi ya...

Uhuru, Raila wakutana kisiri ufuoni

Na CAROLINE WAFULA na VICTOR RABALLA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Raila Odinga, Ijumaa jioni walifanya mkutano wa kisiri...

HANDISHEKI: Raila awaka

Na SAMWEL OWINO, PETER MBURU na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga, amekasirishwa na jinsi wakuu wa chama hicho...

Acha kutajataja Raila, wabunge wamuonya Ruto

Na RUTH MBULA na JOSIAH ODANGA VIONGOZI wa ODM kutoka Nyanza wamemtaka Naibu Rais William Ruto akome kumdharau kiongozi wa chama chao...

Mrengo wa Ruto wataka Raila aandikishe taarifa kuhusu sakata ya dhahabu bandia

Na CHARLES WASONGA na DPPS BAADHI ya wabunge wa Jubilee kutoka Narok wamemtaka Mkurugenzi wa Upelelezi wa Jinai (DCI) George Kinoti...

Gusa Matiang’i uone – Raila

Na RUTH MBULA na JOSIAH ODANGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amewakashifu vikali wale wanaomlaumu Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred...

ODM kuadhibu ‘waliopanga’ kumzoma Raila

Na RUSHDIE OUDIA CHAMA cha ODM kimeapa kuadhibu vikali wahusika waliosababisha kiongozi wa chama hicho, Bw Raila Odinga kuzomwa wakati...

Sitafuti kiti cha kisiasa, asisitiza Raila

Na CAROLINE WAFULA na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga amesisitiza kwamba msimamo wake wa kuungana na Rais Uhuru...

Ripoti ya ukaguzi yabashiri kuporomoka kwa ODM bila Raila

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimeanzisha juhudi za kujiimarisha upya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022 baada ya ripoti ya uchunguzi...

Raila kuwania urais 2022, asema Sifuna

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM Jumatano kilitoa dalili za waziwazi kwamba kiongozi wake Raila Odinga huenda akawania uraia kwa mara ya...

Watetezi raia, au wabinafsi?

Na BENSON MATHEKA VITA vikali vya kisiasa kati ya Naibu Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM, Raila Odinga vinaongozwa na ubinafsi, wala...

Handisheki itamfikisha Raila Ikulu – ODM

Na VALENTINE OBARA CHAMA cha ODM kimekiri kuwa muafaka kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa chama hicho, Bw Raila Odinga...