• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 4:43 PM

Wabunge watatu wamkemea Ruto kwa kumuita Raila ‘tapeli mkuu wa kisiasa’

Na PETER MBURU WABUNGE wamezidi kutofautiana kuhusiana na vita vya maneno kisiasa ambavyo vinaendelea baina ya Naibu Rais William Ruto na...

Vita kati ya Ruto na Raila vyazidi kupamba moto

Na PETER MBURU NAIBU Rais William Ruto Alhamisi alimrushia makombora kinara wa ODM Raila Odinga kuhusiana na vita dhidi ya ufisadi huku...

Ruto ampisha Raila

Na BENSON MATHEKA KWA mara kadhaa sasa, Naibu Rais William Ruto ameonekana kumpisha kinara wa upinzani Raila Odinga kuhutubu kabla ya...

2022: Raila asuasua, akosa msimamo

JUSTUS OCHIENG Na RUSHDIE OUDIA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, anazidi kukanganya wafuasi na wapinzani wake kutokana na...

UFISADI: Raila awakosoa wandani wa Ruto

ONYANGO K’ONYANGO na ERIC WAINAINA KIONGOZI wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amepuuzilia mbali wanasiasa wanaodai kwamba vita vya...

Raila aanza kazi rasmi AU, ahudhuria kikao Ethiopia

Na PETER MBURU KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga, ameanza rasmi kuchapa kazi yake mpya katika muungano wa AU, ambayo alipata wiki...

Raila kukutana na madiwani kumaliza mzozo wa uongozi

Na COLLINS OMULO MADIWANI wa chama cha ODM katika Kaunti ya Nairobi kesho watakutana na kiongozi wao Raila Odinga ili kutatua mzozo...

Raila asema yeye na Uhuru hawako vyeoni kibahati

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa upinzani Raila Odinga amepuuzilia mbali madai kwamba yeye na Rais Kenyatta wamenawiri kisiasa kwa sababu...

Raila atengwa na washirika wake kisiasa kuhusu 2022

Na BENSON MATHEKA KUTEULIWA kwa kiongozi wa upinzani Raila Odinga kuwa Mjumbe Maalumu wa Muungano wa Afrika (AU), kumefanya waliokuwa...

Raila atasalia kwa siasa licha ya kuteuliwa AU – Wachanganuzi

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga hataacha kufanya siasa nchini licha ya kuteuliwa Mjumbe wa Muungano wa Afrika (AU),...

Raila na Ruto wateka mageuzi ya Katiba

Na BENSON MATHEKA WITO wa kura ya maamuzi ili kufanyia Katiba marekebisho, umegeuka safu mpya ya vita vya ubabe kati ya Naibu Rais...

Nyama ya Raila haipo – Uhuru

Na PETER MBURU RAIS Uhuru Kenyatta amepuuzilia wito wa kumtaka amuundie kiongozi wa ODM Raila Odinga nafasi katika serikali yake, baada ya...