Tag: raila
- by adminleo
- March 8th, 2019
Wabunge watatu wamkemea Ruto kwa kumuita Raila ‘tapeli mkuu wa kisiasa’
Na PETER MBURU WABUNGE wamezidi kutofautiana kuhusiana na vita vya maneno kisiasa ambavyo vinaendelea baina ya Naibu Rais William Ruto na...
- by adminleo
- March 7th, 2019
Vita kati ya Ruto na Raila vyazidi kupamba moto
Na PETER MBURU NAIBU Rais William Ruto Alhamisi alimrushia makombora kinara wa ODM Raila Odinga kuhusiana na vita dhidi ya ufisadi huku...
- by adminleo
- February 24th, 2019
Ruto ampisha Raila
Na BENSON MATHEKA KWA mara kadhaa sasa, Naibu Rais William Ruto ameonekana kumpisha kinara wa upinzani Raila Odinga kuhutubu kabla ya...
- by adminleo
- December 27th, 2018
2022: Raila asuasua, akosa msimamo
JUSTUS OCHIENG Na RUSHDIE OUDIA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, anazidi kukanganya wafuasi na wapinzani wake kutokana na...
- by adminleo
- December 11th, 2018
UFISADI: Raila awakosoa wandani wa Ruto
ONYANGO KâONYANGO na ERIC WAINAINA KIONGOZI wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amepuuzilia mbali wanasiasa wanaodai kwamba vita vya...
- by adminleo
- November 19th, 2018
Raila aanza kazi rasmi AU, ahudhuria kikao Ethiopia
Na PETER MBURU KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga, ameanza rasmi kuchapa kazi yake mpya katika muungano wa AU, ambayo alipata wiki...
- by adminleo
- November 7th, 2018
Raila kukutana na madiwani kumaliza mzozo wa uongozi
Na COLLINS OMULO MADIWANI wa chama cha ODM katika Kaunti ya Nairobi kesho watakutana na kiongozi wao Raila Odinga ili kutatua mzozo...
- by adminleo
- November 2nd, 2018
Raila asema yeye na Uhuru hawako vyeoni kibahati
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa upinzani Raila Odinga amepuuzilia mbali madai kwamba yeye na Rais Kenyatta wamenawiri kisiasa kwa sababu...
- by adminleo
- October 29th, 2018
Raila atengwa na washirika wake kisiasa kuhusu 2022
Na BENSON MATHEKA KUTEULIWA kwa kiongozi wa upinzani Raila Odinga kuwa Mjumbe Maalumu wa Muungano wa Afrika (AU), kumefanya waliokuwa...
- by adminleo
- October 22nd, 2018
Raila atasalia kwa siasa licha ya kuteuliwa AU – Wachanganuzi
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga hataacha kufanya siasa nchini licha ya kuteuliwa Mjumbe wa Muungano wa Afrika (AU),...
- by adminleo
- October 9th, 2018
Raila na Ruto wateka mageuzi ya Katiba
Na BENSON MATHEKA WITO wa kura ya maamuzi ili kufanyia Katiba marekebisho, umegeuka safu mpya ya vita vya ubabe kati ya Naibu Rais...
- by adminleo
- August 30th, 2018
Nyama ya Raila haipo – Uhuru
Na PETER MBURU RAIS Uhuru Kenyatta amepuuzilia wito wa kumtaka amuundie kiongozi wa ODM Raila Odinga nafasi katika serikali yake, baada ya...