Tag: Aden Duale
- by T L
- December 30th, 2021
Mbinu za mrengo wa ‘Tangatanga’ kuchelewesha mswada tata wa marekebisho ya sheria za vyama
Na CHARLES WASONGA SHUGHULI ya upigaji kura kwa marekebisho kadha yaliyopendekezwa kwenye Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya...
Duale ajitetea kwa madai alirejelea Kanisa Katoliki kama ‘cult’
Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Garissa Mjini Aden Duale amejitetea kutokana na shutuma alizoelekezewa na Wakenya mitandaoni kwa madai kuwa...
Duale apendekeza bunge litwikwe wajibu wa kuifanyia Katiba mageuzi
Na KNA MBUNGE wa Garissa Mjini Aden Duale ametoa wito kwa vyama vya kisiasa nchini kuungana kuokoa Mswada wa Mageuzi ya Katiba kupitia...
- by adminleo
- June 22nd, 2020
Sababu za kumng’oa Duale
NA CHARLES WASONGA CHAMA tawala cha Jubilee Jumatatu asubuhi kimemng'oa mbunge wa Garissa Mjini Aden Duale kutoka wadhifa wa Kiongozi...
- by adminleo
- June 21st, 2020
Vigogo wa Ruto kichinjioni
Na MWANGI MUIRURI HARAKATI za kuwaondoa wandani wa Naibu Rais William Ruto katika nyadhifa mbalimbali bungeni zinatarajiwa kufikia...
- by adminleo
- June 8th, 2020
Duale motoni tena
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu aliahirisha mkutano wa baadhi ya wabunge wa Jubilee wanaopania kumg’oa Aden Duale...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Viongozi wa Kaskazini Mashariki wamtetea Duale
Na FARHIYA HUSSEIN VIONGOZI wa siasa kutoka Kaskazini Mashariki wamemtetea Mbunge wa Garissa Mjini Aden Duale mnamo kipindi ambapo...
- by adminleo
- June 2nd, 2020
Duale aponea
Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Garissa Mjini Aden Duale ameponea na kuhifadhi kiti chake cha Kiongozi wa Wengi katika Bunge la Kitaifa...
- by adminleo
- May 25th, 2020
Duale hatarini zaidi kwa ‘undumakuwili’ wake
NA CHARLES WASONGA BAADA ya Rais Uhuru Kenyatta kufaulu kuwang’oa wandani wa Naibu wake William Ruto kutoka uongozi wa Seneti shoka...
- by adminleo
- May 24th, 2020
‘Ni kama kamba ya Aden Duale itakatikia pabovu’
Na CHARLES WASONGA BAADA ya Rais Uhuru Kenyatta kufaulu kuwang’oa wandani wa naibu wake William Ruto kutoka uongozi wa Seneti shoka...