Tag: BI TAIFA
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 19, 2020
Faith Sonoi, 24, ni mkazi wa mtaa wa Shabbab kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kucheza magongo na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 18, 2020
Winnie Soyo, 25, ni mzaliwa wa kaunti ya Kericho. Uraibu wake ni kuzuru mbuga za wanyama na kukutana na marafiki wapya. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 17, 2020
Hannah Koi Mark, 22,ni mwenyeji wa kaunti ya Taita Taveta, yeye ni mlimwende wa mitindo ya kiasili na mtafiti wa fasheni. Uraibu wake ni...
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 16, 2020
Hanna Njeri mwenye umri wa 23 ni mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru. Mbali na kujihusisha na ulimwende anapenda kusakata densi na...
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 15, 2020
Malkia wetu anajulikana kama Monica Maina, amehitimu miaka 26. Yeye ni mzaliwa wa Kitale. Uraibu wake ni kusafiri, kupika na kutazama...
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 14, 2020
Ann Nyokabi amehitimu miaka 26, yeye ni mfanyibiashara kutoka Kitale. Uraibu wake ni kusikiliza muziki na kutazama filamu. Picha/Richard...
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 13, 2020
Mercy Wanjiku, 22, ni mwanamitindo na mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea na kutalii mazingira...
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 12, 2020
Sharon Blaine ni mwanamitindo maarufu kutoka kaunti ya Kisumu, mbali na kukuza vipaji vya ulimbwende anapenda kujihusisha na majukwaa ya...
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 11, 2020
Mercy Mesie ni mjasiriamali katika kitengo cha utalii nchini, mbali na kuwahamasisha vijana wajianzishie miradi ya kujiendeleza anapenda...
- by adminleo
- June 25th, 2020
BI TAIFA APRILI 10, 2020
Sharon Cheptoo, 21, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Maasai Mara, Kaunti ya Narok. Uraibu wake ni kusakata kabumbu na kuchora....
- by adminleo
- June 24th, 2020
BI TAIFA APRILI 9, 2020
Linda Chemuta, 24, ni mzaliwa wa kaunti ya Uasin Gishu. Uraibu wake ni kusafiri, kusakata densi na kusakata kabumbu. Picha/Richard...
- by adminleo
- June 24th, 2020
BI TAIFA APRILI 8, 2020
Vivian Moraa, 20, ni mzaliwa wa eneo la Keroka kaunti ya Kisii. Ni mwanahabari chipukizi na mtaalamu wa kurekodi muziki. Uraibu wake ni...