• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 5:55 AM

Vigogo Man-U, Chelsea na Liverpool mawindoni leo

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MIAMBA wa Manchester United, Chelsea na Liverpool watalenga kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu ya...

Chelsea wapepeta Villarreal na kutwaa taji la Uefa Super Cup

Na MASHIRIKA CHELSEA walipepeta Villarreal 6-5 kupitia penalti na kutwaa ubingwa wa Uefa Super Cup kwa mara ya pili baada ya kumenyana...

SUPER CUP: Tammy Abraham kuongoza mashabulizi ya Chelsea dhidi ya Villarreal

Na MASHIRIKA FOWADI Tammy Abraham amejumuishwa katika kikosi kitakachotegemewa na Chelsea dhidi ya Villarreal kwenye gozi la leo...

Chelsea waanza kujiandaa kwa msimu mpya wa 2021-22 kwa ushindi mnono wa 6-1

Na MASHIRIKA HAKIM Ziyech alifunga mabao matatu na kusaidia Chelsea kusajili ushindi wa 6-1 dhidi ya Peteborough kwenye mchuano wa...

Leicester City waponda Chelsea na kutwaa Kombe la FA

Na MASHIRIKA KIUNGO Youri Tielemans alifunga bao la pekee dhidi ya Chelsea na kushindia waajiri wake Leicester City ufalme wa Kombe la FA...

Ni Chelsea na Manchester City kwenye fainali ya UEFA Mei 29

Na MASHIRIKA CHELSEA watakutana na Manchester City kwenye fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) mnamo Mei 29 baada ya kocha Thomas Tuchel...

Chelsea wakomoa Everton na kuweka hai matumaini ya kumaliza msimu huu wa EPL ndani ya 4-bora

Na MASHIRIKA CHELSEA walifunga bao katika kila kipindi na kupepeta Everton ambao ni washindani wao wakuu katika vita vya kupigania...

Chelsea wapepeta Newcastle na kupaa hadi kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA CHELSEA walipaa hadi kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo Novemba 21, 2020 baada ya kuwapepeta...

Lampard aitaka Chelsea iwapiku Liverpool na Man City

Na MASHIRIKA KOCHA Frank Lampard amewataka masogora wake wa Chelsea kuanza kuwazia kuwa washindani wakuu wa Liverpool na Manchester City...

Chelsea watakuwa moto wa kuotea mbali msimu mpya – Harry Redknapp

Na MASHIRIKA UKUBWA wa kiwango cha kujishughulisha kwa Chelsea katika soko la uhamisho wa wachezaji muhula huu ni onyo kwa wapinzani wao...

Chelsea wamsajili beki Thiago Silva kutoka PSG

Na CHRIS ADUNGO BEKI matata mzawa wa Brazil, Thiago Silva, amejiunga rasmi na Chelsea ya Uingereza kwa mkataba wa mwaka mmoja. Nyota...

Chelsea watinga Uefa msimu ujao huku Wolves wakikosa fursa ya kufuzu kwa Europa League moja kwa moja

Na CHRIS ADUNGO CHELSEA walikamilisha kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu wa 2019-20 katika nafasi ya nne jedwalini na...