• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:55 PM

EPL: Bao la Giroud dhidi ya Norwich City laisaidia Chelsea kukaa tisti katika nafasi ya tatu

Na CHRIS ADUNGO KOCHA Frank Lampard amesema “anadai matokeo bora zaidi” kutoka kwa kikosi chake cha Chelsea kilichowafunga Norwich...

Pedro Rodriguez kuagana na Chelsea na kujiunga na AS Roma

Na CHRIS ADUNGO FOWADI Pedro Rodriguez wa Chelsea atajiunga rasmi na AS Roma ya Italia baada ya mkataba wake uwanjani Stamford Bridge...

Kocha Frank Lampard aeleza jinsi ujuzi unavyomfaidi

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Frank Lampard wa Chelsea amefichua jinsi ujuzi wake wa muda mrefu unavyomsaidia katika majukumu...

Chelsea yakubali ombi la Kante kutorejea kambini kwa minajili ya mechi za EPL zilizosalia msimu huu

Na CHRIS ADUNGO CHELSEA wamemkubalia sogora N’Golo Kante kutojisumbua kurejea katika kambi ya mazoezi ya Cobham, Uingereza baada ya...

Chelsea yahemea huduma za Aubameyang wa Arsenal

Na CHRIS ADUNGO KOCHA Frank Lampard amefichua kwamba kikosi chake cha Chelsea kitakuwa sokoni mwishoni mwa msimu huu kujinasia huduma za...

Lampard arukia vijana kupepetwa na Bayern

Na MASHIRIKA KOCHA Frank Lampard wa Chelsea amewalaumu wachezaji wake kwa uzembe walioufanya dhidi ya Bayern Munich katika mechi ya Ligi...

BREKI! Chelsea yatupa uongozi dhidi ya Brighton

Na MASHIRIKA BRIGHTON, Uingereza KLABU ya Chelsea ilitupa uongozi ikipigwa breki na Brighton katika sare ya 1-1 katika mechi ya...

HOFU CHELSEA: Vijana wa Frank Lampard wana kibarua dhidi ya Aston Villa

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza FRANK Lampard ataongoza kikosi chake cha Chelsea dhidi ya Aston Villa akikumbuka vichapo viwili...

Kante arejea kikosini baada ya kupata nafuu

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Frank Lampard anatarajia kumkaribisha kiungo mahiri N'Golo Kante, Chelsea itakapokuwa nyumbani...

Lampard aridhika na sare dhidi ya Ajax katika Uefa

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Frank Lampard amewapongeza vijana wake kwa juhudi zao zilizowafanya waagane kwa 4-4 na Ajax...

Chelsea kusukwa upya ikionana na Manchester United

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza MASHABIKI wa Chelsea wanamtarajia kocha Frank Lampard kufanya mabadiliko kadhaa vijana wake...

Lampard kukosa vifaa akikabili Newcastle

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Frank Lampard huenda akaunda kikosi chake bila nyota kadhaa walioumia katika mechi za...