• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 11:13 AM

Maelfu katika hatari ya kufa kwa corona

Na BENSON MATHEKA MAELFU ya Wakenya wako katika hatari kubwa ya kufariki katika wimbi la tatu la Covid-19 kutokana na aina mpya ya...

Hali ilivyo Kenya mwaka mmoja wa janga la Covid-19

Na SAMMY WAWERU MACHI 13, 2020, Waziri wa Afya Mutahi Kagwe alitangaza kuthibitishwa kwa mgonjwa wa kwanza wa Covid-19 nchini. Ni...

Hofu idadi ya visa vipya vya Covid-19 ikiendelea kupanda

Na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine idadi ya juu ya maambukizi mapya imerekodiwa Alhamisi. Kulingana na Waziri wa Afya Mutahi Kagwe...

Kenya yaandikisha idadi ya juu zaidi ya maambukizi ya corona tangu Januari

Na CHARLES WASONGA KENYA iliandikisha idadi ya juu zaidi ya maambukizi ya Covid-19 Jumatano na kuongeza hofu ya wimbi la tatu la...

COVID-19: Kenya yathibitisha visa vipya 280 idadi jumla ikifika 104,780

Na CHARLES WASONGA KENYA imenakili visa 280 vipya vya maambukizi ya Covid-19 huku watu wawili zaidi wakifariki kutokana na ugonjwa...

Visa vya maambukizi ya corona duniani vyapindukia 100 milioni

CHARLES WASONGA na MASHIRIKA VISA vya maambukizi ya virusi vya corona duniani Jumatano vilivuka watu milioni 100 huku mataifa kote...

COVID-19: Mmoja afariki, serikali yathibitisha visa vipya 130

Na CHARLES WASONGA MTU mmoja pekee ndiye amethibitishwa kufariki kutokana na corona Jumatano huku watu 130 wapya wakipatikana na ugonjwa...

COVID-19: Kenya yathibitisha visa vipya 335 idadi jumla ikifika 97,733

Na CHARLES WASONGA WATU 335 zaidi wamethibitishwa Alhamisi kuwa na virusi vya corona nchini Kenya baada ya sampuli kutoka kwa watu 5,424...

COVID-19: Visa vipya 349 vyafikisha 94,500 idadi jumla

Na CHARLES WASONGA IDADI ya watu ambao sampuli zao zimepimwa nchini kubaini ikiwa wameambukizwa virusi vya corona au la sasa imepita...

COVID-19: Visa vipya 390

Na CHARLES WASONGA KENYA Jumamosi iliendelea kuandikisha kushuka kwa kiwango cha maambukizi ya Covid-19 na idadi ya wagonjwa wanaofariki...

COVID-19: Visa vipya ni 404 huku wagonjwa 11 wakifariki

Na CHARLES WASONGA WAGONJWA wengine 11 wamethibitishwa kufariki kutokana na Covid-19 huku watu 404 zaidi wakipatikana na virusi vya...

Dkt Mogusu atawagusa?

BENSON MATHEKA na LEON LIDIGU “TUKO kwenye vita na lazima tushinde,” alisema Rais Uhuru Kenyatta mnamo Aprili 6, 2020, kwenye...