• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 8:03 AM

Yaibuka corona pia inaathiri figo, moyo

WANDERI KAMAU na SAMMY WAWERU IMEIBUKA kuwa virusi vya corona vinaathiri sehemu zingine za mwili, kinyume na dhana ambayo imekuwepo kuwa...

Israel yafanikiwa kuchapisha moyo wa kwanza wenye mishipa kupitia 3D

MASHIRIKA na DANIEL OGETTA MNAMO Jumatatu, wanasayansi wa Israel kwa mara ya kwanza, walifanikiwa kuchapisha moyo wenye tishu na...

Daktari mwizi sugu wa mioyo ya wafu motoni

Na ISABEL GITHAE MPASUAJI mkuu wa zamani wa maiti serikalini (pichani) Moses Njue Jumatatu alifikishwa katika Mahakama ya Meru...

Anayeshtakiwa kuiba moyo wa maiti aomba kesi ifutwe

Na RICHARD MUNGITI ALIYEKUWA mpasuaji mkuu wa maiti wa Serikali, Dkt Moses Njue anayeshtakiwa pamoja na mwanawe kwa wizi wa moyo kutoka...

Sikuiba moyo wa mfu, mpasuaji ajitetea

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA mpasuaji mkuu wa maiti wa Serikali Dkt Moses Njue alifikishwa kortini Jumanne kwa kuiba moyo wa maiti katika...