• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Chama kipya Pwani kinavyotishia Ruto na Raila

Na MAUREEN ONGALA MIPANGO ya kuzindua chama kipya Pwani kabla uchaguzi ujao ufike, imeshika kasi na kutishia kugeuza mawimbi ya kisiasa...

Msajili ajitenga na kashfa ya usajili vyamani

Na WANDERI KAMAU MSAJILI wa Mkuu wa Vyama vya Kisiasa nchini, Bi Anne Nderitu, amesema afisi yake haipaswi kulaumiwa kwa kashfa ambapo...

MARY WANGARI: Ni makosa kulazimishia Wakenya vyama vya kisiasa

Na MARY WANGARI WIKENDI jana, maelfu ya Wakenya walipigwa na butwaa kubaini kwamba wengi wao walikuwa wamesajiliwa kisiri katika vyama...

Kashfa ya vyama kadha kusajili raia kwa lazima yakera Wakenya wengi

Na LEONARD ONYANGO WAKENYA wamelalamika kuwa vyama vya kisiasa nchini vimekuwa vikitumia ukora kuwasajili kuwa wanachama bila idhini...

Chama cha ‘wilbaro’ chapata mwanga wa kusajiliwa

Na LEONARD ONYANGO MSAJILI wa Vyama vya Kisiasa ameruhusu chama cha Party for Development Reform (PDR) kutumia nembo ya ‘wilibaro’...

Je, chama cha wilibaro kitasajiliwa?

Na LEONARD ONYANGO WANASIASA wamekimbia katika afisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa kujaribu kusajili vyama vilivyo na nembo ya...