• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 1:15 PM

NCIC yashtakiwa kuhusu sipangwingwi

Na RICHARD MUNGUTI VUGUVUGU la mawakili wamewasilisha kesi katika mahakama kuu kupinga marafuku ya matumizi ya maneno “hatupangwingwi...

NCIC yaonya wanasiasa wasiotaka kuona washindani ngomeni

Na CHARLES WASONGA TUME ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) imewaonya wanasiasa dhidi ya kuwazuia mahasidi wao kuingia katika...

Wabunge 10 waitwa na NCIC kuhusu fujo

Na SAMMY WAWERU TUME ya Uwiano na Utangamano (NCIC), imekashifu vikali fujo na vurugu zilizozuka wakati wa chaguzi ndogo za Matungu,...

NCIC yashtumu fujo zilizoua wawili Murang’a

Na JUMA NAMLOLA TUME ya Uwiano na Utangamano (NCIC), inataka polisi wachunguze na kuwakamata watu waliohusika katika ghasia katika...

ODONGO: Tume ya NCIC inapasa kuvunjiliwa mbali sasa

Na CECIL ODONGO NI jambo la kusikitisha kwamba makamishina wa Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) wamekimya huku vifo...

NCIC yanguruma hofu ikitanda kuhusu mkutano wa BBI

PETER MBURU Na GEORGE SAYAGIE TUME Amani na Maridhiano Kitaifa (NCIC) jana ilitoa mwelekeo ambao mikutano ya kupigia debe Mpango wa...

BBI: NCIC yataka nguvu za kuwashtaki na kuwaadhibu wachochezi

Na WANDERI KAMAU TUME ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) inataka ipewe nguvu za kuwashtaki na kuwaadhibu watu wanaopatikana...

Uhuru kuteua makamishna wapya wa NCIC

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta, Jumatatu anatarajiwa kuwateua rasmi watu wanane waliopigwa msasa hivi majuzi kuchukua nafasi za...

Rais apendekeza majina ya watu watakaohudumu kama makamishna NCIC

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumanne alimpendekeza Kasisi Samuel Kobia kuwa mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Uwiano na...