• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 3:25 PM

Manaibu wa magavana sasa kupata sauti BBI ikipita

Na COLLINS OMULO MANAIBU wa magavana watakuwa wenye mamlaka kinyume na sasa, ikiwa Wakenya wataipitisha ripoti ya Jopokazi la Maridhiano...

Wasiwasi Nyeri visa vya corona vikiongezeka

NA IRENE MUGO Kuongezeka kwa visa vya corona Kaunti ya Nyeri kumezua wasiwasi kati ya maafisa wa afya kaunti hiyo huku wakiwahimiza...

Munala aelezea matumaini tele KCB iko imara

JEFF KINYANJUI na GEOFFREY ANENE KOCHA Japheth Munala anaamini sajili wapya Mercy Moim, Edith Wisa na Sharon Chepchumba wamefanya timu...

Aibu ya wakazi Nyeri kugeuza mashamba ya majani chai kuwa danguro

Na PETER MBURU WAKAZI wa Nyeri wameshangaza ulimwengu tena, baada ya kubainika kuwa wamegeuza mashamba ya majani chai kuwa sehemu za...

Mutua akejeliwa kujaribu kuzima ndoto ya Ruto 2022

GUCHU NDUNG’U na JOSEPH WANGUI GAVANA Alfred Mutua wa Kaunti ya Machakos, ameanza rasmi kampeni za kuwania urais mnamo 2022 katika...

Geti ya Sh20 milioni ni kosa la uchapishaji, gavana sasa ajitetea

[caption id="attachment_1986" align="aligncenter" width="800"] Nyeri county government headquaters in Nyeri town on February 20, 2018. The...

Geti ya Sh20 milioni Nyeri yaibua maswali

[caption id="attachment_1945" align="aligncenter" width="800"] MAKAO makuu ya kaunti ya Nyeri ambako imependekezwa lango la sasa...