• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 5:55 AM

Alaves waduwaza Real Madrid katika gozi la La Liga

Na MASHIRIKA EDEN Hazard alipata jeraha jingine katika mchuano wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) ulioshuhudia waajiri wake Real Madrid...

Real Madrid yadidimiza matumaini ya Inter Milan kusonga mbele kwenye gozi la UEFA

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Inter Milan kutinga hatua ya 16-bora ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu yalididimizwa na Real Madrid...

Villarreal na Real Madrid nguvu sawa kwenye La Liga

Na MASHIRIKA REAL Madrid walipoteza fursa ya kupunguza mwanya wa alama kati yao na viongozi wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Real...

Rodrygo asaidia Real Madrid kuangusha Inter Milan

Na MASHIRIKA BAO la dakika za mwisho kutoka kwa Rodrygo liliwavunia Real Madrid ushindi wa 3-2 dhidi ya Inter Milan kwenye gozi la Klabu...

El CLASICO: Real Madrid yaizidi maarifa Barcelona

Na MASHIRIKA REAL Madrid waliwapokeza Barcelona kichapo cha 3-1 kwenye gozi la El Clasico katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo...

Kubwa zaidi katika ndoto zangu ni kuchezea Real Madrid – Pogba

Na MASHIRIKA KIUNGO Paul Pogba wa Manchester United amekiri kwamba kubwa zaidi katika maazimio yake kitaaluma ni kuchezea Real Madrid ya...

Real Madrid yatoka nyuma na kulaza Betis katika mechi ya La Liga

Na MASHIRIKA REAL Madrid walitoka nyuma na kulaza Real Betis 3-2 katika mchuano wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) ulioshuhudia matukio...

Real Madrid wapepeta Villareal na kunyanyua ubingwa wa La Liga

Na CHRIS ADUNGO REAL Madrid walijitwalia ubingwa wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu huku...

UBINGWA LA LIGA: Real Madrid sasa wahitaji alama mbili tu kutokana na mechi mbili

Na CHRIS ADUNGO REAL Madrid wanahitaji alama mbili pekee kutokana na mechi mbili zilizosalia msimu huu ili kutawazwa mabingwa wa Ligi...

Manchester City yapewa idhini ya kuvaana na Real Madrid uwanjani Etihad

Na CHRIS ADUNGO MCHUANO wa mkondo wa pili wa hatua ya 16-bora ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kati ya Manchester City ya Uingereza na Real...

Real Madrid yafungua mwanya wa alama mbili kileleni mwa La Liga

Na CHRIS ADUNGO REAL Madrid walisajili ushindi wa 1-0 dhidi ya Espanyol uwanjani RCDE mnamo Jumapili usiku na kufungua pengo la alama...

Real Madrid yaendelea kuongoza kwa utajiri duniani – utafitiĀ 

Na MASHIRIKA KULINGANA na ripoti ya mwaka 2020 ya utafiti uliofanywa na shirika la KPMG, klabu ya Real Madrid inaongoza kwa thamani ya...