• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:55 PM

UEFA: Mipango ipo kukamilisha Champions League na Europa League Agosti 2020

CHRIS ADUNGO na MASHIRIKA RAIS wa soka ya bara Ulaya (Uefa), Aleksander Cerefin, amesema kwamba shirikisho hilo lina “mipango...

Newcastle United kufungulia mifereji ya fedha kumsajili Gareth Bale

Na CHRIS ADUNGO NEWCASTLE United wapo tayari kuweka mezani kiasi cha Sh8 bilioni ili kujinasia huduma za fowadi matata wa Real Madrid na...

La Liga sasa kurejelewa Juni 12

Na MASHIRIKA RAIS wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Javier Tebas amefichua mipango ya kurejelewa kwa kampeni za kipute hicho msimu huu...

Straika wa Real taabani kuhusu corona

Na MASHIRIKA BELGRADE, Serbia STRAIKA wa Real Madrid, Luka Jovic yuko taabani kwa kukiuka masharti ya karantini wakati huu wa janga...

Real Madrid waalika PSG kwa mtihani mkali wa Uefa

Na MASHIRIKA MADRID, UHISPANIA REAL Madrid watapania leo Jumanne kulipiza kisasi dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) katika mechi ya...

Bale kujiondoa Madrid akipata mwanya

Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania MSHAMBULIAJI matata Gareth Bale wa Real Madrid ameeleza kukasirishwa na kuchoshwa kwake kama sababu ya...

KIPENGA: Real kumtimua Zidane halafu Mourinho apewe

Na JOB MOKAYA TANGU kupewa nafasi nyingine ya kuingoza Real Madrid, Zinedine Zidane ameandikisha msururu wa matokeo mabaya kiasi cha...

Allegri au Xavi kutua Barca endapo kocha Ernesto atatimuliwa

Na MASHIRIKA BARCELONA, Uhispania MSURURU wa matokeo duni ya Barcelona katika mechi za ugenini katika kipute cha Ligi Kuu ya...

MAUANO: Patashika nguo kuchanika PSG na Real Madrid zikipapurana

Na MASHIRIKA PARIS, Ufaransa MECHI iliyosubiriwa kwa hamu kubwa kati ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa na Real Madrid...

Mashabiki wa Real kumuona Hazard leo Jumamosi

Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania Kocha Zinedine Zidane alisema Ijumaa kuwa sajili mpya Eden Hazard amepata idhini ya kusakatia Real...

Dai vigogo Real Madrid hawana makali tena

Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania KIUNGO mahiri Carlos Henrique Casemiro wa Real Madrid amekiri kwamba kikosi chao hakiko katika kiwango...

Bale aisaidia Madrid sare dhidi ya Villarreal

Na MASHIRIKA NYOTA Gareth Bale aliwafungia Real Madrid mabao mawili kabla ya kuonyeshwa kadi nyekundu mwishoni mwa kipindi cha pili...