Tag: real madrid
- by adminleo
- May 17th, 2020
UEFA: Mipango ipo kukamilisha Champions League na Europa League Agosti 2020
CHRIS ADUNGO na MASHIRIKA RAIS wa soka ya bara Ulaya (Uefa), Aleksander Cerefin, amesema kwamba shirikisho hilo lina “mipango...
- by adminleo
- May 14th, 2020
Newcastle United kufungulia mifereji ya fedha kumsajili Gareth Bale
Na CHRIS ADUNGO NEWCASTLE United wapo tayari kuweka mezani kiasi cha Sh8 bilioni ili kujinasia huduma za fowadi matata wa Real Madrid na...
- by adminleo
- May 12th, 2020
La Liga sasa kurejelewa Juni 12
Na MASHIRIKA RAIS wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Javier Tebas amefichua mipango ya kurejelewa kwa kampeni za kipute hicho msimu huu...
- by adminleo
- March 24th, 2020
Straika wa Real taabani kuhusu corona
Na MASHIRIKA BELGRADE, Serbia STRAIKA wa Real Madrid, Luka Jovic yuko taabani kwa kukiuka masharti ya karantini wakati huu wa janga...
- by adminleo
- November 26th, 2019
Real Madrid waalika PSG kwa mtihani mkali wa Uefa
Na MASHIRIKA MADRID, UHISPANIA REAL Madrid watapania leo Jumanne kulipiza kisasi dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) katika mechi ya...
- by adminleo
- October 9th, 2019
Bale kujiondoa Madrid akipata mwanya
Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania MSHAMBULIAJI matata Gareth Bale wa Real Madrid ameeleza kukasirishwa na kuchoshwa kwake kama sababu ya...
- by adminleo
- October 7th, 2019
KIPENGA: Real kumtimua Zidane halafu Mourinho apewe
Na JOB MOKAYA TANGU kupewa nafasi nyingine ya kuingoza Real Madrid, Zinedine Zidane ameandikisha msururu wa matokeo mabaya kiasi cha...
- by adminleo
- September 24th, 2019
Allegri au Xavi kutua Barca endapo kocha Ernesto atatimuliwa
Na MASHIRIKA BARCELONA, Uhispania MSURURU wa matokeo duni ya Barcelona katika mechi za ugenini katika kipute cha Ligi Kuu ya...
- by adminleo
- September 18th, 2019
MAUANO: Patashika nguo kuchanika PSG na Real Madrid zikipapurana
Na MASHIRIKA PARIS, Ufaransa MECHI iliyosubiriwa kwa hamu kubwa kati ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa na Real Madrid...
- by adminleo
- September 14th, 2019
Mashabiki wa Real kumuona Hazard leo Jumamosi
Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania Kocha Zinedine Zidane alisema Ijumaa kuwa sajili mpya Eden Hazard amepata idhini ya kusakatia Real...
- by adminleo
- September 5th, 2019
Dai vigogo Real Madrid hawana makali tena
Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania KIUNGO mahiri Carlos Henrique Casemiro wa Real Madrid amekiri kwamba kikosi chao hakiko katika kiwango...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Bale aisaidia Madrid sare dhidi ya Villarreal
Na MASHIRIKA NYOTA Gareth Bale aliwafungia Real Madrid mabao mawili kabla ya kuonyeshwa kadi nyekundu mwishoni mwa kipindi cha pili...