• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 2:25 PM

Mudavadi, Weta wajianika kwa kususia hafla ya Raila

Na BENSON MATHEKA HATUA ya kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford Kenya Moses...

Musalia na Weta watakiwa kusahau urais na kumuunga mkono Raila 2022

Na BRIAN OJAMAA WANDANI wa kinara wa ODM Raila Odinga katika Kaunti ya Bungoma sasa wanataka viongozi wa Magharibi kusitisha azma yao ya...

Mkutano wa Weta watibuliwa kwa vitoa machozi

BENSON AMADALA Na DERICK LUVEGA POLISI Jumamosi walizima mkutano uliopangwa na kiongozi wa Ford Kenya Moses Wetang'ula nyumbani kwa...

Nilikuwa tu refa, Spika Lusaka ajitetea kuhusu kumng’oa Wetang’ula

Na MACHARIA MWANGI SPIKA wa Seneti Kenneth Lusaka amejitenga na kung’olewa kwa Seneta wa Bungoma, Moses Wetang’ula kama Kiongozi wa...

JAMVI: Vinara watatu wa Nasa wataziba pengo la ‘Baba’?

 WYCLIFFE MUIA na CHARLES WASONGA NI wazi kuwa kinara wa upinzani Raila Odinga atafanya kazi na serikali kutimiza ajenda ya Jubilee ya...

Vyama vya Ford-K na ANC kuvunjwa kuunda chama kimoja

LEONARD ONYANGO na GAITANO PESSA VIONGOZI kutoka eneo la Magharibi wamedokeza mpango wa kutaka kuvunjilia mbali vyama vya Amani National...