• Nairobi
  • Last Updated May 9th, 2024 1:42 PM
Aliyedaiwa kukuza bangi nyumbani ajisalimisha

Aliyedaiwa kukuza bangi nyumbani ajisalimisha

NA TITUS OMINDE

MSHUKIWA aliyepatikana akikuza bangi katika mtaa wa Elgon-View mjini Eldoret Ijumaa alikamatwa baada ya kujisalimisha kwa polisi.

Michael Kibet Kipchumba alikiri kwa polisi kuwa anamiliki nyumba ambako polisi walipata bangi ikikuzwa.

Alizuiliwa kwa siku tatu. Kesi hiyo itatajwa Julai 12.

  • Tags

You can share this post!

Nassir na Hassan Omar watembelea mitaa na makundi wakisaka...

DINI: Tusemezane kwani hakuna yasiyotatulika

T L