• Nairobi
  • Last Updated May 11th, 2024 3:59 PM
Koech ahepa kifungo kwa radhi zake Rais

Koech ahepa kifungo kwa radhi zake Rais

NA BENSON MATHEKA

RAIS William Ruto jana Jumanne alimsamehe aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Matibabu Kenya (KEMRI), Dkt Davy Koech ambaye alikuwa akitumikia kifungo cha miaka sita jela kwa ufisadi wa Sh19.3 milioni.

Dkt Koech alikuwa kati ya watu 37 na wafungwa zaidi ya 2,900 wa makosa madogo ambao Rais Ruto alisamehe kabla ya kukamilisha kifungo chao.

  • Tags

You can share this post!

Ninaona udikteta Kenya, adai Raila

Raila kujenga hoteli itakayogharimu nusu bilioni Malindi

T L