• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 9:50 AM
Mvurya awahimiza wapigakura Kwale wachague viongozi watakaoinua elimu

Mvurya awahimiza wapigakura Kwale wachague viongozi watakaoinua elimu

NA KNA

GAVANA wa Kwale, Bw Salim Mvurya, amehimiza wananchi kutilia maanani viongozi wenye uwezo wa kufadhili sekta ya elimu, katika uchaguzi wa Agosti.

Akizungumza katika mkutano wa umma Ukunda, Bw Mvurya aliambia vijana wachukulie kwa uzito elimu ili kujinufaisha kimaisha.

Alikuwa ameandamana na kamishna wa kaunti hiyo, Bw Gideon Oyagi, ambaye alitaka wananchi watumie nafasi iliyotolewa na serikali kufadhili elimu katika viwango tofauti.

  • Tags

You can share this post!

Wanaokopa pesa kidijitali sasa kulipa ushuru wa asilimia 20

NJENJE: M-Pesa sasa kutumika katika nchi 200 duniani baada...

T L