• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM
Mwanamume, 50, aliyemwoa mtoto afungwa

Mwanamume, 50, aliyemwoa mtoto afungwa

NA KENYA NEWS AGENCY

MAHAKAMA ya Narok imemsukuma jela maisha mwanamume mwenye umri wa miaka 50 baada ya kukiri kumnajisi na kumwoa msichana mwenye umri wa miaka 10.

Saigulu Ololosereka aliyefikishwa mbele ya Hakimu Mkuu Mkazi wa Narok Phyllis Shinyada alikabiliwa na mashtaka mawili ikiwemo kumnajisi msichana wa miaka 10 na kumwoa mnamo 2019.

“Hatia iliyotekelezwa ni hatari na ya kinyama. Miaka mitatu iliyopita ni lazima ilikuwa miaka ya kutisha zaidi kwa mahasiriwa,” alisema Hakimu.

  • Tags

You can share this post!

Ruto hajamaliza deni la kisiasa Pwani – Wadadisi

Gavana alaani kampeni za uchaguzi 2027

T L