• Nairobi
  • Last Updated May 9th, 2024 6:40 PM
Wanawake wa kaunti waingie uongozini -Achani

Wanawake wa kaunti waingie uongozini -Achani

NA MKAMBURI MWAWASI

GAVANA wa Kaunti ya Kwale, Bi Fatuma Achani, amewataka wanawake katika kaunti hiyo wajiandae kuwania viti vya uongozi 2027.Katika uchaguzi wa 2022, Diwani wa Wadi ya Ramisi, Bi Hanifa Mwajirani, ndiye mwanamke pekee aliyeshinda udiwani.

Wakati huo huo, Mwakilishi wa Kike, Bi Fatuma Masito (pichani), aliwataka wanawake Kwale waunge mkono juhudi za Bi Achani za kuboresha maisha ya jamii.

“Tusikubali kutumiwa vibaya kama wanawake. Ni jukumu letu kupigania haki zetu,” akasema Bi Masito.

 

  • Tags

You can share this post!

Muungano wa mapadri walia kulemewa na kiu cha mahaba

Matian’gi, Michuki na Magoha, sura na sauti anazokosa...

T L