• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 1:46 PM

Amerika kuchunguza mitandao ya kijamii ya wageni wote

NA MASHIRIKA RAIA kutoka mataifa ya nje watalazimika kutoa maelezo kuhusu akaunti zao za mitandao ya kijamii kabla ya kupokea Visa za...

Ruto kukosa nyama choma Amerika

Na CHRIS WAMALWA NAIBU Rais William Ruto Jumatatu atakosa hafla ya kula nyama choma nchini Amerika baada ya ziara yake ya kuzindua...

Marekani yalegeza msimamo wake wa kuizima Huawei

MASHIRIKA na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya kutengeneza simu ya Huawei imepata nafuu baada ya serikali ya Marekani kuirahishia vikwazo...

Kenya yatafuta msaada wa ulinzi katika Pentagon

Na VALENTINE OBARA SERIKALI ya Kenya imefanya mashauriano na Wizara ya Ulinzi ya Amerika, maarufu kama Pentagon, kwa lengo la kupokea...

Serikali yaelekeza macho Amerika kusaka wafadhili

Na VALENTINE OBARA MASUALA kuhusu ustawi wa kiuchumi, uwekezaji na vita dhidi ya ufisadi yanatazamiwa kupewa kipaumbele maafisa wakuu wa...

UBABE: Hatari ya vita baina ya Amerika na Uchina yanukia 2019

NA FAUSTINE NGILA KATIKA taarifa za kimataifa za miaka ya hivi karibuni, vita vya kiuchumi baina ya Amerika na Uchina zimetawala kwenye...

Ripoti: Wakenya wasema heri Amerika kuliko Uchina

Na VALENTINE OBARA WAKENYA wengi wangependa Amerika iendelee kuwa taifa lenye ushawishi mkubwa zaidi ulimwenguni kuliko Uchina, ripoti...

Uhuru akwepa ghadhabu za Wakenya walio Amerika

NA CHRIS WAMALWA RAIS Uhuru Kenyatta hana mpango wa kukutana na Wakenya wanaoishi Amerika akiwa nchini humo kuhudhuria Kongamano Kuu la...

ZIARA: Mkataba wa kibiashara baina ya Trump na Uhuru

NA PETER MBURU RAIS Uhuru Kenyatta na Donald Trump wa Marekani Jumatatu walifanya mazungumzo ya kina kuhusu mbinu za kuimarisha biashara,...

Rais Kenyatta aelekea Amerika kukutana na Trump

NA PSCU RAIS Uhuru Kenyatta ameondoka nchini kwa ziara rasmi jijini Washington DC, Amerika, ambapo anatazamamiwa kukutana na Rais...

Iran yateketeza bendera ya Amerika bungeni

AFP na CHARLES WASONGA WABUNGE wa Iran walitekeza bendera ya Amerika huku wakiimba "Kifo kwa Amerika" Jumatano ndani ya bunge la taifa...

FBI wavamia ofisi ya wakili wa Trump kuhusu ulaghai na filamu za ngono

Na CHRIS ADUNGO WASHINGTON, AMERIKA KIKOSI maalum cha polisi, FBI kimevamia ofisi ya wakili wa kibinafsi wa Rais Donald Trump,  Michael...