• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 7:12 PM

COVID-19: Amerika yashauri raia wake waepuke Kenya ikiwezekana

Na BENSON MATHEKA AMERIKA imeonya raia wake dhidi ya kutembelea Kenya ikisema kwamba wanakabiliwa na hatari ya kuambukizwa virusi vya...

Hivi ndivyo tunavyoongezea kinga mwilini, asimulia Mkenya aliye Amerika

Na GEOFFREY ANENE Marekani inaongoza katika visa vya maambukizi ya virusi hatari vya corona vilivyoanzia mjini Wuhan nchini Uchina zaidi...

Hofu Marekani ikipunguza ufadhili nchini

Na RUTH MBULA BALOZI wa Marekani nchini Kyle McCarter ametangaza kwamba serikali yake inaendelea kupunguza msaada wa kifedha kwa Kenya...

Mzozo wa Iran na Amerika hautaathiri Kenya, ubalozi wa Iran wasema

Na CHARLES WASONGA IRAN na Kenya zitaendelea kudumisha uhusiano wa kirafiki licha ya Kenya kuendelea kuwa mshirika wa Amerika...

Vita vya Iran na Trump vitakavyoathiri maisha ya Wakenya

Na WAANDISHI WETU WASIWASI umezuka nchini kuhusu uwezekano wa mzozo kati ya Iran na Amerika kuathiri hali ya maisha ya Wakenya. Kwa...

Mzozo wa Iran kuumiza Kenya

Na WAANDISHI WETU WASIWASI umezuka nchini kuhusu uwezekano wa mzozo kati ya Iran na Amerika kuathiri hali ya maisha ya Wakenya. Kwa...

Timizeni ahadi zenu, balozi wa Amerika arai wanasiasa

Na PIUS MAUNDU BALOZI wa Amerika nchini Kenya, Bw Kyle McCarter amewashauri wanasiasa wanaotarajia kuchaguliwa tena mamlakani mwaka wa...

Raia wa Amerika kutuliza hasira gerezani

Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Amerika aliyemchapa na kumsababishia majeraha afisa wa polisi katika hoteli ya Azuri baada ya kukatazwa...

TAHARIRI: Wabunge warudishe mamilioni waliyomumunya Amerika

NA MHARIRI KAMA alivyosema gavana wa Machakos, Dkt Alfred Mutua, wabunge hawana budi kushinikizwa kurejesha fedha za umma walizotumia...

Amerika si salama tena, ulimwengu waonywa

Na VALENTINE OBARA TAHADHARI ya usalama imetolewa kimataifa kwa watu wanaosafiri kwenda Amerika, kufuatia ongezeko la mashambulio ya...

Iran yaionya vikali Amerika

NA MASHIRIKA RAIS wa Iran Hassan Rouhani alisema Jumanne kwamba amani na nchi yake itakuwa “mama wa amani yote” na vita na Iran...

Vipusa wa USA watetea ubingwa wa Dunia gozini

Na MASHIRIKA LYON, UFARANSA VIPUSA wa timu ya taifa ya Amerika walitawazwa mabingwa wa dunia kwa mara ya nne katika historia ya...