Tag: AMERIKA
- by adminleo
- August 10th, 2020
COVID-19: Amerika yashauri raia wake waepuke Kenya ikiwezekana
Na BENSON MATHEKA AMERIKA imeonya raia wake dhidi ya kutembelea Kenya ikisema kwamba wanakabiliwa na hatari ya kuambukizwa virusi vya...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Hivi ndivyo tunavyoongezea kinga mwilini, asimulia Mkenya aliye Amerika
Na GEOFFREY ANENE Marekani inaongoza katika visa vya maambukizi ya virusi hatari vya corona vilivyoanzia mjini Wuhan nchini Uchina zaidi...
- by adminleo
- January 15th, 2020
Hofu Marekani ikipunguza ufadhili nchini
Na RUTH MBULA BALOZI wa Marekani nchini Kyle McCarter ametangaza kwamba serikali yake inaendelea kupunguza msaada wa kifedha kwa Kenya...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Mzozo wa Iran na Amerika hautaathiri Kenya, ubalozi wa Iran wasema
Na CHARLES WASONGA IRAN na Kenya zitaendelea kudumisha uhusiano wa kirafiki licha ya Kenya kuendelea kuwa mshirika wa Amerika...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Vita vya Iran na Trump vitakavyoathiri maisha ya Wakenya
Na WAANDISHI WETU WASIWASI umezuka nchini kuhusu uwezekano wa mzozo kati ya Iran na Amerika kuathiri hali ya maisha ya Wakenya. Kwa...
- by adminleo
- January 7th, 2020
Mzozo wa Iran kuumiza Kenya
Na WAANDISHI WETU WASIWASI umezuka nchini kuhusu uwezekano wa mzozo kati ya Iran na Amerika kuathiri hali ya maisha ya Wakenya. Kwa...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Timizeni ahadi zenu, balozi wa Amerika arai wanasiasa
Na PIUS MAUNDU BALOZI wa Amerika nchini Kenya, Bw Kyle McCarter amewashauri wanasiasa wanaotarajia kuchaguliwa tena mamlakani mwaka wa...
- by adminleo
- October 29th, 2019
Raia wa Amerika kutuliza hasira gerezani
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Amerika aliyemchapa na kumsababishia majeraha afisa wa polisi katika hoteli ya Azuri baada ya kukatazwa...
- by adminleo
- August 12th, 2019
TAHARIRI: Wabunge warudishe mamilioni waliyomumunya Amerika
NA MHARIRI KAMA alivyosema gavana wa Machakos, Dkt Alfred Mutua, wabunge hawana budi kushinikizwa kurejesha fedha za umma walizotumia...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Amerika si salama tena, ulimwengu waonywa
Na VALENTINE OBARA TAHADHARI ya usalama imetolewa kimataifa kwa watu wanaosafiri kwenda Amerika, kufuatia ongezeko la mashambulio ya...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Iran yaionya vikali Amerika
NA MASHIRIKA RAIS wa Iran Hassan Rouhani alisema Jumanne kwamba amani na nchi yake itakuwa “mama wa amani yote” na vita na Iran...
- by adminleo
- July 9th, 2019
Vipusa wa USA watetea ubingwa wa Dunia gozini
Na MASHIRIKA LYON, UFARANSA VIPUSA wa timu ya taifa ya Amerika walitawazwa mabingwa wa dunia kwa mara ya nne katika historia ya...