Tag: Amina Mohamed
- by adminleo
- March 3rd, 2019
TAHARIRI: Amina ana uwezo wa kuinua michezo
NA MHARIRI WIZARA ya Michezo nchini imekuwa na matatizo mengi katika miaka ya hivi majuzi hasa kutokana na ukosefu wa uongozi imara....
- by adminleo
- March 1st, 2019
Pandashuka za Balozi Amina Mohamed ndani ya serikali ya UhuRuto
Na MWANGI MUIRURI na GEOFFREY ANENE RAIS Uhuru Kenyatta katika mabadiliko katika baraza la mawaziri wake amemhamishia Balozi Amina...
- by adminleo
- February 24th, 2019
Shinikizo Amina ajiuzulu kuhusu mikopo ya HELB
Na SHABAN MAKOKHA UTATA unaendelea kushuhudiwa kuhusiana na ulipaji wa zaidi ya Sh7.2 bilioni zilizokopeshwa wanafunzi wa vyuo vikuu na...
- by adminleo
- February 19th, 2019
TAHARIRI: Serikali isiwaadhibu wazazi
NA MHARIRI SHUGHULI inayoendelezwa na serikalli ya kuwasaka wanafunzi wajiunge na shule za upili ni muhimu kwa nchi. Hatua hiyo ni...
- by adminleo
- February 8th, 2019
Waliokosa kujiunga na sekondari kuwindwa hadi vijijini
Na WANDERI KAMAU WANAFUNZI wapatao 130,000 bado hawajajiunga na Kidato cha Kwanza licha ya juhudi za serikali kuhakikisha kuwa wanafunzi...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Wote 90,744 waliozoa C+ kwenda juu wahakikishiwa nafasi vyuoni
Na WANDERI KAMAU WANAFUNZI wote ambao walipata alama ya C+ na zaidi katika mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE) mwaka uliopita, watajiunga...
- by adminleo
- January 7th, 2019
TAHARIRI: Waziri wa Elimu awe na msimamo rasmi
NA MHARIRI WANAFUNZI wanapojiunga na shule za upili Jumatatu, maswali yanazidu kuibuka kuhusu jinsi ya kuwasajili. Katika kipindi cha...
- by adminleo
- November 21st, 2018
TAHARIRI: Hongera kudhibiti visa vya wizi KCPE
NA MHARIRI Maafisa wa Baraza la Kitaifa la Mitihani nchini (Knec), Wizara ya Elimu na wenzao wa Usalama wa Ndani wanastahili pongezi kwa...
- by adminleo
- November 7th, 2018
Waziri alaumiwa kwa mimba za wanafunzi
ONYANGO K’ONYANGO na SHABAN MAKOKHA BAADHI ya viongozi wa kisiasa sasa wanamlaumu Waziri wa Elimu Amina Mohamed kwa ongezeko la visa...
- by adminleo
- October 8th, 2018
Mtaala mpya uko sambamba, haujakwama – KICD
Na BENSON MATHEKA MAGEUZI yanayofanyiwa mtaala mpya wa elimu hayajakwama, mkurugenzi wa taasisi ya kukuza mitaala nchini (KICD) Dkt...
- by adminleo
- October 3rd, 2018
Wabunge wakerwa na ziara za Amina Mohamed mitihani ya KCPE na KCSE ikikaribia
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wamekerwa na hatua ya Waziri wa Elimu Amina Mohamed kufanya ziara nyingi za kigeni wakati huu ambapo wanafunzi...
- by adminleo
- September 10th, 2018
Maandalizi ya mitihani ya KCPE na KCSE yako tayari – Amina
Na OUMA WANZALA MAANDALIZI ya mitihani ya kitaifa ya mwaka huu yamekamilika, Waziri wa Elimu Amina Mohamed ametangaza. “Tumeweza...