Tag: Anne Waiguru
Wazee waidhinisha Waiguru awanie ugavana tena 2022
Na KNA BARAZA la wazee kaunti ya Kirinyaga limemwidhinisha Gavana Ann Waiguru kutetea kiti chake likisema rekodi yake ya maendeleo...
Waiguru awataka wakazi wa Kirinyaga wachukue tahadhari maambukizi ya Covid-19 yakipanda
Na SAMMY WAWERU GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru ametahadharisha wakazi kuhusu ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona katika kaunti...
Waiguru ahisi huu ni wakati mwafaka wa Jubilee kuzinduka
Na SAMMY WAWERU MGOMBEA wa United Democratic Alliance (UDA) Bw John Njuguna Wanjiku ndiye aliibuka mshindi katika uchaguzi mdogo wa kiti...
Siri kali ya Joho, Waiguru
Na WAANDISHI WETU MKUTANO baina ya Gavana wa Mombasa Hassan Joho na mwenzake wa Kirinyaga, Bi Anne Waiguru, umeibua mdahalo miongoni mwa...
Hatua ya Waiguru kutimua madaktari yamtatiza
GEORGE MUNENE na IRENE MUGO Uamuzi wa Gavana Anne Waiguru wa Kirinyaga kuwafuta kazi madaktari na wauguzi mnamo 2019 umerudi kuathiri...
Waiguru hatarini kufungiwa nyumba
Na SAM KIPLAGAT GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru anakabiliwa na hatari ya kufurushwa katika makazi yake ya kifahari mtaani Kitisuru...
Waiguru asambazia wasichana sodo
Na George Munene KAUNTI ya Kirinyaga Ijumaa alizindua mpango wa kusambaza sodo kwa wasichana wa shule za eneo hilo. Mpango huo...
- by adminleo
- July 24th, 2020
Waiguru sasa adai Kibicho ndiye chanzo cha masaibu yake
Na WANDERI KAMAU MZOZO wa kisiasa katika Kaunti ya Kirinyaga jana ulizidi kutokota, baada ya Gavana Anne Waiguru kudai kuwa Katibu...
- by adminleo
- July 16th, 2020
Pigo kwa Waiguru MCAs wakikataa kuidhinisha bajeti
Na GEORGE MUNENE GAVANA wa Kirinyaga, Bi Anne Waiguru, alipata pigo Jumatano, baada ya madiwani anaozozana nao kukataa kuidhinisha...
- by adminleo
- July 1st, 2020
BAJETI: Waiguru akatwa miguu na MCAs
Na GEORGE MUNENE MADIWANI wa Kirinyaga sasa wameamua kutumia mamlaka yao kumwadhibu Gavana Anne Waiguru kwa kumpunguzia mgao wa fedha...
- by adminleo
- June 27th, 2020
Waiguru ‘hajapona’
Na CHARLES WASONGA INGAWA Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru ameipongeza Seneti kwa kutupilia mbali hoja ya kumwondoa afisini, hayuko...
- by adminleo
- June 27th, 2020
Sanitaiza ya BBI yang’arisha Waiguru
Na BENSON MATHEKA MSIMAMO wa Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru kuhusu handisheki na Mpango wa Maridhiano (BBI), umetajwa kama uliomwokoa...