• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 10:48 AM

Serikali italipa fidia ya Sh14 bilioni kwa walioshambuliwa na wanyamapori – Balala

Na ALEX KALAMA WAZIRI wa Utalii, Bw Najib Balala amehimiza Shirika la Wanyamapori (KWS), kujenga uhusiano mwema na jamii kwa...

Kero mitandaoni Balala akiteua Mwingereza kupigia debe utalii

NA WANGU KANURI Wakenya kupitia mitandao ya kijamii ya Twitter na Facebook wameeleza masikitiko yao kuhusiana na uamuzi wa Wizara ya...

Wawekezaji sekta ya utalii wadai wito wa Balala hauna mashiko

Na WINNIE ATIENO WAMILIKI wa hoteli za ufuoni wamemshtumu Waziri wa Utalii Bw Najib Balala kwa kuwataka wapunguze ada wanazotoza ili...

Tembeleeni mbuga zetu, Balala ahimiza Wakenya

Na MWANDISHI WETU WAZIRI wa Utalii na Wanyamapori, Bw Najib Balala ametoa wito kwa Wakenya kutumia muda huu ambao ada zimepunguzwa...

COVID-19: Balala asema sekta ya utalii inapoteza Sh13bn kila mwezi

Na WINNIE ATIENO WAZIRI wa Utalii Najib Balala amesema sekta hiyo inapoteza takribani Sh13 bilioni kila mwezi kufuatia mlipuko wa virusi...

Tutapoteza Sh500 bilioni tukizidi kubomoa majengo – Balala

Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa Kamati ya Kuboresha Hali ya Jiji la Nairobi Najib Balala ameonya kuwa ikiwa shughuli ya ubomoaji...

Balala ajitetea dhidi ya madai ya ufisadi

Na PETER MBURU WAZIRI wa Utalii Najib Balala Alhamisi alijitetea mbele ya Kamati ya Bunge kuhusu Michezo, Utalii na Utamaduni, kuhusiana...

Sarafu mpya zitastawisha utalii na kulinda wanyamapori – Balala

Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Utalii na Wanyama Pori Najib Balala amepongeza hatua ya serikali ya kuweka picha za wanyamapori katika...