• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 10:55 AM

Msimu wa masikitiko kwa Barca baada ya kulimwa fainali ya Copa del Rey

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA mara 30 wa kipute cha Copa del Rey, Barcelona walikamilisha msimu kwa masikitiko makubwa licha ya kuwa na...

Valverde asema hawazii kujiuzulu Barca baada ya kuondolewa UEFA

NA CECIL ODONGO KOCHA wa Barcelona Ernesto Valverde amesema kwamba hajawahi kuwazia kujiuzulu tangu klabu hiyo ibanduliwe kwenye kipute...

BALAA LEO: Liverpool yahitaji muujiza ugani Anfield kuzima Barcelona UEFA

Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, UINGEREZA BARCELONA wanatarajiwa kuwa kikosi cha kwanza kufuzu kwa fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu...

Chelsea, United na PSG zamhemea Coutinho

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA CHELSEA wamefichua nia ya kumsajili kiungo Philippe Coutinho katika juhudi za kulijaza pengo la Eden...

HAPA KITANUKA: Patachimbika Barca, Reds wakionana

Na MASHIRIKA LISBON, Ureno BAADA ya kuibandua nje FC Porto kwenye hatua ya robo-fainali, Liverpool ina mlima mrefu wa kupanda...

KICHAPO: Solkjaer akiri kikosi chake chahitaji mageuzi kufuatia kichapo cha Barcelona

Na MASHIRIKA BARCELONA, Uhispania KOCHA Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United amekiri kwamba kikosi chake kinahitaji mabadiliko...

Messi awaokoa Barca dhidi ya Nari Villareal

Na MASHIRIKA BARCELONA, Uihspania ILIBIDI kocha Ernesto Valverde wa Barcelona amuingize staa Lionel Messi kusaidia kikosi chake...

Messi afungia Barcelona ‘hat trick’ ya 33 La Liga

Na MASHIRIKA BARCELONA, UHISPANIA LIONEL Messi alifunga mabao matatu katika ushindi wa 4-1 uliosajiliwa na Barcelona dhidi ya Real Betis...

Messi hunirahisishia kazi uwanjani – Dembele

NA CECIL ODONGO WINGA wa Barcelona Ousmane Dembele amesifu ushirikiano wake na nyota wa timu hiyo Lionel Messi akisema umemsaidia sana...

Levante yaiharibia Barcelona karamu ya kutoshindwa

Na GEOFFREY ANENE MGHANA Emmanuel Boateng aliongoza ‘Daudi’ Levante kuonyesha ‘Goliathi’ Barcelona kivumbi kwa kichapo cha mabao...

Roma yaingia nusu fainali baada ya kuangusha jabali Barcelona

Na CHRIS ADUNGO KWA mashabiki wengi, ilikuwa ndoto kwa AS Roma ya Italia kuwazia timu hiyo kuibandua Barcelona na kuingia nusu fainali...