Tag: barcelona
- by adminleo
- May 26th, 2019
Msimu wa masikitiko kwa Barca baada ya kulimwa fainali ya Copa del Rey
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA mara 30 wa kipute cha Copa del Rey, Barcelona walikamilisha msimu kwa masikitiko makubwa licha ya kuwa na...
- by adminleo
- May 13th, 2019
Valverde asema hawazii kujiuzulu Barca baada ya kuondolewa UEFA
NA CECIL ODONGO KOCHA wa Barcelona Ernesto Valverde amesema kwamba hajawahi kuwazia kujiuzulu tangu klabu hiyo ibanduliwe kwenye kipute...
- by adminleo
- May 7th, 2019
BALAA LEO: Liverpool yahitaji muujiza ugani Anfield kuzima Barcelona UEFA
Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, UINGEREZA BARCELONA wanatarajiwa kuwa kikosi cha kwanza kufuzu kwa fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Chelsea, United na PSG zamhemea Coutinho
Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA CHELSEA wamefichua nia ya kumsajili kiungo Philippe Coutinho katika juhudi za kulijaza pengo la Eden...
- by adminleo
- April 19th, 2019
HAPA KITANUKA: Patachimbika Barca, Reds wakionana
Na MASHIRIKA LISBON, Ureno BAADA ya kuibandua nje FC Porto kwenye hatua ya robo-fainali, Liverpool ina mlima mrefu wa kupanda...
- by adminleo
- April 18th, 2019
KICHAPO: Solkjaer akiri kikosi chake chahitaji mageuzi kufuatia kichapo cha Barcelona
Na MASHIRIKA BARCELONA, Uhispania KOCHA Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United amekiri kwamba kikosi chake kinahitaji mabadiliko...
- by adminleo
- April 4th, 2019
Messi awaokoa Barca dhidi ya Nari Villareal
Na MASHIRIKA BARCELONA, Uihspania ILIBIDI kocha Ernesto Valverde wa Barcelona amuingize staa Lionel Messi kusaidia kikosi chake...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Messi afungia Barcelona ‘hat trick’ ya 33 La Liga
Na MASHIRIKA BARCELONA, UHISPANIA LIONEL Messi alifunga mabao matatu katika ushindi wa 4-1 uliosajiliwa na Barcelona dhidi ya Real Betis...
- by adminleo
- February 18th, 2019
Messi hunirahisishia kazi uwanjani – Dembele
NA CECIL ODONGO WINGA wa Barcelona Ousmane Dembele amesifu ushirikiano wake na nyota wa timu hiyo Lionel Messi akisema umemsaidia sana...
- by adminleo
- May 14th, 2018
Levante yaiharibia Barcelona karamu ya kutoshindwa
Na GEOFFREY ANENE MGHANA Emmanuel Boateng aliongoza ‘Daudi’ Levante kuonyesha ‘Goliathi’ Barcelona kivumbi kwa kichapo cha mabao...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Roma yaingia nusu fainali baada ya kuangusha jabali Barcelona
Na CHRIS ADUNGO KWA mashabiki wengi, ilikuwa ndoto kwa AS Roma ya Italia kuwazia timu hiyo kuibandua Barcelona na kuingia nusu fainali...