Tag: BI TAIFA
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 22, 2019
Jane Rose Nyambura 24 ni mzaliwa wa kaunti ya Muranga na mwanafunzi wa uzamili katika Chuo Kikuu cha Eldoret. Anapenda kusafiri na...
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 21, 2019
Beatrice Ngetich, 24, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Kabarak mjini Nakuru. Uraibu wake ni kupika na kuogelea. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 20, 2019
Ruth Jepchirchir, 27, ni mwanamitindo na anafanya utafiti katika Chuo Kikuu cha Moi, Kaunti ya Uasin Gishu. Anapenda kusafiri na...
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 19, 2019
Linet Kwamboka, 24, ni mfanyibiashara kutoka kaunti ya Uasin Gishu. Uraibu wake ni kupika na kusafiri. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 18, 2019
Waridi Judy, 20, ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka jijini Nairobi. Wakati mwingi anapenda kusafiri na kusakata densi....
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 17, 2019
Euphy Awuor, 23, ni mkazi jijini Nairobi. Anapenda kuigiza filamu na kukutana na marafiki wapya. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 16, 2019
Blessing Sein ana miaka 22. Yeye ni mzaliwa wa Kaunti ya Narok lakini hivi sasa anajishughulisha na mitindo ya mavazi ya kiasili. Uraibu...
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 15, 2019
Josephine Odindo, 22, ni mwigizaji wa filamu Nakuru. Uraibu wake ni kusoma na kusikiliza muziki wa kizazi kipya. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 14, 2019
Angie Shomari, 24, ni mfanyibiashara wa Nairobi. Uraibu wake kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 13, 2019
Waridi Mogore, 21, ni mwanafunzi katika Chuo cha NIBS mjini Nakuru. Yeye ni mwanamitindo na mwanamuziki chipukizi anayependa kujumuika na...
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 12, 2019
Waridi Judy, 20, ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya jijini Nairobi. Anapenda kusafiri na kusakata densi. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- November 24th, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 11, 2019
Josephine Odindo, 22, ni mwigizaji kutoka kaunti ya Nakuru, yeye ni mwanafunzi wa chuo kimoja hapa na akipata muda anapenda kuigiza na...