• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:55 PM

Bobi Wine asema majeshi yameteka nyumba yake, serikali yadai inamlinda

CHARLES WASONGA Na MASHIRIKA MGOMBEAJI urais nchini Uganda Robert Kyangulanyi, maarufu kama Bobi Wine, Ijumaa jioni alidai kuwa...

Nimeshinda urais kwa kura nyingi mno – Bobi Wine

AFP na CHARLES WASONGA MGOMBEAJI wa urais nchini Uganda kwa tiketi ya Muungano wa Upinzani Bobi Wine Ijumaa alidai kuwa mshindi katika...

Museveni kifua mbele Bobi Wine akipinga matokeo ya mapema

 Na MASHIRIKA RAIS wa Uganda Yoweri Museveni amepata uongozi wa mapema katika kinyang’anyiro cha urais, kulingana na matokeo ya awali...

Mshindi wa urais Uganda kujulikana kesho

NA DAILY MONITOR TUME Huru ya Uchaguzi nchini Uganda inatarajiwa kumtangaza mshindi wa kiti cha Urais hapo Jumamosi baada ya kuandaa...

Nitapinga matokeo uchaguzi ukikosa uwazi – Bobi Wine

NA DAILY MONITOR MWANIAJI urais wa chama cha National Unity Platform (NUP) nchini Uganda Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine amsesma...

Walinzi na wafuasi wa Bobi Wine wakamatwa, siku mbili kabla ya uchaguzi

Na CHARLES WASONGA MGOMBEAJI wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine Jumanne alifichua kuwa wanajeshi wa serikali walivamia nyumbani kwake...

Muungano mkuu wa upinzani wanukia nchini Uganda

Na DAMALI MUKHAYE KAMPALA, UGANDA HARAKATI za kumbandua mamlakani Rais wa Uganda Yoweri Museveni zimepamba moto huku majadiliano kati...

Msanii Chameleone azuiwa kumuona Bobi Wine gerezani

Na DAILY MONITOR JUHUDI za mwanamuziki maarufu nchini Uganda Joseph Mayanja, maarufu Jose Chameleone, kumtembelea mbunge wa Kyadondo...

WANDERI: Vijana ndio watakaosaidia kuleta mwamko mpya Afrika

Na WANDERI KAMAU MNAMO Ijumaa iliyopita, baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kenyatta walizua rabsha baada ya kufahamu kwamba Rais...

Bobi Wine aambia Rais ang’atuke

Na MASHIRIKA MBUNGE wa Kyadondo Mashariki, Robert Kyagulanyi maarufu kama ‘Bobi Wine’ amesema kwamba uongozi wa Rais Yoweri Museveni...

2018: Habari 10 zilizovutia wasomaji katika tovuti ya Taifa Leo

NA FAUSTINE NGILA LICHA ya mwaka wa 2018 kukumbwa na mawimbi ya sakata nyingi za ufisadi, tukio la kiongozi wa ODM kujiapisha kuwa...

Bobi Wine aeleza anavyomheshimu Museveni

Na MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA MBUNGE wa Kyadondo Mashariki, Robert Kyagulanyi almaarufu kama Bobi Wine, amesema hawezi kumkosea...