• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 5:44 PM

CHOCHEO: Mvuto wa dume la pembeni

Na BENSON MATHEKA NI miaka mitano sasa tangu *Hellen afunge pingu za maisha na Daniel. Kabla ya harusi na miaka minne ya ndoa yao,...

CHOCHEO: Ukarimu wake ni chambo tu!

Na BENSON MATHEKA KWA kipindi cha miezi tisa, Betty alimchukulia Dan kuwa rafiki yake wa dhati. Dan alimsaidia kwa mambo mengi kikazi...

CHOCHEO: Usiende deti ukiwa mlevi, pombe ni adui wa penzi la dhati

Na BENSON MATHEKA SALLY alipompigia simu James kuthibitisha deti yao ya kwanza, barobaro huyo hakuamini ilikuwa kweli. Alikuwa...

CHOCHEO: Kukataliwa ni kawaida, jinyanyue na maisha yasonge

Na BENSON MATHEKA DAVY, barobaro mwenye umri wa miaka 25 alipoanza kumrushia chambo Agie, 23, alikuwa na matumaini makubwa kuwa...

CHOCHEO: Kuepuka dhiki baada ya talaka

Na BENSON MATHEKA KESI yake ya talaka ilipokuwa ikiendelea, Joyce hakuwazia jinsi maisha yangekuwa baada ya ombi lake...

CHOCHEO: Dalili za hatari katika mapenzi

Na BENSON MATHEKA IKIWA uhusiano wako wa kimapenzi unakufanya ukasirike na kutokwa na machozi kila wakati, unafaa kuelewa kwamba mambo...

CHOCHEO: Raha ya usingizi wa mahaba

Na BENSON MATHEKA JE, unataka kuimarisha uwezo wako wa kutekeleza na kufurahia tendo la ndoa? Basi, usijinyime usingizi wa...

CHOCHEO: Jipu la ndoa

Na BENSON MATHEKA TALAKA imekuwa kawaida siku hizi. Wanandoa wanachokana na kuwasilisha kesi za talaka kisha kuanza kuvutana sababu...

CHOCHEO: Wajua waweza kufikia patamu kwa ndoto tu?

Na BENSON MATHEKA SI lazima mtu ashiriki uroda ili aweze kujipata katika kilele cha tendo la ndoa. Wataalamu wanasema mtu anaweza...

CHOCHEO: Kuchokana katika ndoa

Na BENSON MATHEKA IKIWA umeoa na shughuli za chumbani zimeanza kupungua, hiyo ni dalili kwamba mumeanza kuchokana na ndoa inaeleka...

CHOCHEO: Kutafsiri ndoto za mapenzi

Na BENSON MATHEKA UKIPATA ndoto ya mapenzi au ukiota ukifanya mapenzi na mtu asiye mpenzi wako, usikimbie kumweleza. Japo wataalamu...

CHOCHEO: Dakika ngapi kabla kushusha mzigo?

Na BENSON MATHEKA WANAWAKE na wanaume wametofautiana vikali kuhusu muda ambao mume anapaswa kuchukua kutekeleza tendo la ndoa. Huku...