• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:42 PM

Itakuwa moto Italia, Ubelgiji zikikwaruzana robo ya Euro hii leo

Na MASHIRIKA MUNICH, Ujerumani ITALIA na Uhispania watalenga kuendeleza rekodi zao nzuri dhidi ya Ubelgiji na Uswisi mtawalia, dimba...

Italia wapepeta Northern Ireland bila jasho jingi katika mechi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia

Na MASHIRIKA ITALIA waliwapepeta Northern Ireland 2-0 mjini Parma mnamo Alhamisi katika mchuano wao wa ufunguzi wa kampeni za kufuzu kwa...

Kibarua kigumu kwa Barcelona na Chelsea katika raundi ya 16-bora UEFA

Na MASHIRIKA NYOTA Lionel Messi na Neymar Jr huenda wakakutana tena katika uwanja mmoja wa soka – mara hii kila mmoja akicheza dhidi...

Ciro Immobile anusia rekodi ya ufungaji barani Ulaya

Na CHRIS ADUNGO MATUMAINI ya Cristiano Ronaldo kuibuka mfungaji bora katika soka ya bara Ulaya msimu huu yalididimia zaidi mnamo Julai...