Tag: DENI
- by adminleo
- November 11th, 2019
WANDERI: Kenya itahatarisha mustakabali wake ikiendelea kukopa
Na WANDERI KAMAU MATAMSHI ya mbunge Moses Kuria (Gatundu Kusini) kwamba hali ya kiuchumi nchini imedorora kuliko inavyoelezwa na...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SENSA: Kila Mkenya anadaiwa Sh124,000
Na LEONARD ONYANGO MATOKEO ya Sensa yaliyotangazwa Jumatatu yamethibitisha kuwa kila Mkenya anadaiwa kiasi cha Sh124,000 ili kulipa...
- by adminleo
- June 28th, 2019
Wazee Rift Valley wataka ‘deni’ lilipwe
Na OSCAR KAKAI na CHARLES WASONGA BAADHI ya wazee wa jamii ya Kalenjin, hatimaye wamewataka wenzao wa Agikuyu kuheshimu ahadi waliyotoa...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Benki ya Dunia yaipa Kenya mkopo wa Sh75b, deni sasa lakaribia Sh6 trilioni
PAUL WAFULA na CHARLES WASONGA HATIMAYE Benki ya Dunia (WB) imeipa Kenya mkopo wa Sh75 bilioni na kuongezea wananchi mzigo wa madeni...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Kenya sasa yaomba Benki ya Dunia Sh75 bilioni
Na BERNARDINE MUTANU Kenya imeomba mkopo wa mabilioni ya pesa kutoka kwa Benki ya Dunia ili kufadhili bajeti yake, ikisema kuna miradi...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Zaidi ya nusu ya mapato ya nchi yalitumiwa kulipa madeni – Takwimu
Na BERNARDINE MUTANU SERIKALI ilitumia zaidi ya Sh600 bilioni kulipa madeni katika muda wa miezi 10 kufikia Aprili 2019. Kwa muda...
- by adminleo
- May 19th, 2019
Deni lasimamisha harusi ghafla
Na MWANDISHI WETU SOSIET, KERICHO ? Siku iliyotarajiwa kuwa ya furaha tele iligeuka kuwa yenye huzuni nyingi mzee alipositisha harusi...
- by adminleo
- May 5th, 2019
Serikali yaelekeza macho Amerika kusaka wafadhili
Na VALENTINE OBARA MASUALA kuhusu ustawi wa kiuchumi, uwekezaji na vita dhidi ya ufisadi yanatazamiwa kupewa kipaumbele maafisa wakuu wa...
- by adminleo
- April 26th, 2019
DENI: Kenya Power, KQ, KPA, KenGen, KBC na KR hatarini kupigwa mnada
Na PETER MBURU HUKU serikali ikiendelea kuomba mikopo zaidi nchini China, mashirika yake manane makuuu yako katika hatari ya kupigwa...
- by adminleo
- April 21st, 2019
Raila kuandamana na Uhuru China kukopa mabilioni ya SGR
Na VICTOR RABALLA KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga Jumapili alitangaza kuwa, ataandamana na Rais Uhuru Kenyatta kuelekea China,...
- by adminleo
- February 23rd, 2019
Madeni yazidi kuisakama serikali
Na BERNARDINE MUTANU MDHIBITI wa bajeti ameonya kuhusiana na kiwango kikubwa cha deni la serikali kutokana na kuwa zaidi ya nusu ya...
- by adminleo
- February 18th, 2019
Serikali sasa yakiri deni la Sh5 trilioni ni zito zaidi kwa Kenya kulipa
CHARLES MWANIKI na CHARLES WASONGA HATIMAYE Serikali imeelezea hofu kuwa huenda Kenya ikashindwa kulipa madeni yake ya kigeni, ikisema...