• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 12:48 PM

China yazindua apu inayotambua mtu wa madeni akiwa karibu

MASHIRIKA Na PETER MBURU SERIKALI ya China imetengeneza apu ambayo ina uwezo wa kufahamisha mtu ikiwa alipo kuna mtu mwenye...

Hofu mpya kuhusu madeni ya Uchina

Na LEONARD ONYANGO SERIKALI Jumatatu ilikaa kimya kuhusu taarifa kuwa imepatia China uhuru wa kutwaa mali ya Kenya ipendavyo iwapo...

Serikali kukopa zaidi mwaka huu

Na BERNARDINE MUTANU Mikopo ya serikali inatarajiwa kuongezeka katika muda wa miezi sita ya mwisho katika mwaka wa kifedha wa...

Mlinzi wa gavana auawa na bodaboda sababu ya deni la Sh100

Na CHARLES WANYORO AFISA wa ulinzi wa Gavana wa Embu Martin Wambora aliyeuawa Jumanne baada ya mzozo kuibuka na wahudumu wa bodaboda...

DENI: Huenda Kenya ikapokonywa Bandari ya Mombasa na Uchina

NA BENSON MATHEKA KENYA imo hatarini kupokonywa bandari ya Mombasa na serikali ya Uchina ili kulipia sehemu ya deni kubwa ambalo...

MADENI: Kenya hatarini kupigwa mnada na Uchina

PATRICK ALUSHULA Na VALENTINE OBARA Kwa muhtasari: Huenda Uchina ikatwaa Bandari ya Mombasa,  JKIA, Reli ya SGR na ardhi Kenya...

Uhuru kuachia Wakenya deni la Sh7 trilioni aking’atuka 2022

Na BERNARDINE MUTANU DENI la Kenya litaongezeka hadi Sh 7 trilioni ifikapo 2022. Kufikia Juni mwaka 2019, deni hilo litagonga Sh5.6...

Uhuru ataachia Wakenya deni la Sh7 trilioni akiondoka mamlakani

CONSTANT MUNDA na PETER MBURU RAIS Uhuru Kenyatta atakuwa amekusanya takriban Sh2.13 trillioni za madeni kufikia wakati atakapomaliza...

SYSTEM YA MADENI: Rotich alivyokopa kiholela

Na CHARLES WASONGA KUPANDA kwa madeni ya Kenya kutoka Sh1.77 trilioni mnamo 2013 hadi Sh5.1 trilioni mwaka huu, ndio chanzo cha masaibu...

Kopa Ruto tulipe deni la Sh5 trilioni, Wakenya wamshauri Uhuru

Na PETER MBURU HATUA ya serikali kutoza Wakenya ushuru zaidi ili kulipia madeni ya Sh5 trilioni iliyokopa na kufadhili bajeti ya Sh3...

‘Biashara ndogo, watu binafsi wamelemewa kulipa madeni ya benki’

Na BERNARDINE MUTANU DENI kubwa katika benki za humu nchini lilitokana na mikopo kwa watu binafsi na biashara ndogo. Deni hilo la...

Auawa kwa kuchelewesha kulipa deni la Sh100

Na JADSON GICHANA Biwi la simanzi lilitanda katika kijiji cha Randani, eneo la Kenyenya, Kaunti ya Kisii baada ya mwanamume kuua...