Tag: DENI
- by adminleo
- February 5th, 2019
China yazindua apu inayotambua mtu wa madeni akiwa karibu
MASHIRIKA Na PETER MBURU SERIKALI ya China imetengeneza apu ambayo ina uwezo wa kufahamisha mtu ikiwa alipo kuna mtu mwenye...
- by adminleo
- January 15th, 2019
Hofu mpya kuhusu madeni ya Uchina
Na LEONARD ONYANGO SERIKALI Jumatatu ilikaa kimya kuhusu taarifa kuwa imepatia China uhuru wa kutwaa mali ya Kenya ipendavyo iwapo...
- by adminleo
- January 10th, 2019
Serikali kukopa zaidi mwaka huu
Na BERNARDINE MUTANU Mikopo ya serikali inatarajiwa kuongezeka katika muda wa miezi sita ya mwisho katika mwaka wa kifedha wa...
- by adminleo
- December 27th, 2018
Mlinzi wa gavana auawa na bodaboda sababu ya deni la Sh100
Na CHARLES WANYORO AFISA wa ulinzi wa Gavana wa Embu Martin Wambora aliyeuawa Jumanne baada ya mzozo kuibuka na wahudumu wa bodaboda...
- by adminleo
- December 20th, 2018
DENI: Huenda Kenya ikapokonywa Bandari ya Mombasa na Uchina
NA BENSON MATHEKA KENYA imo hatarini kupokonywa bandari ya Mombasa na serikali ya Uchina ili kulipia sehemu ya deni kubwa ambalo...
- by adminleo
- November 28th, 2018
MADENI: Kenya hatarini kupigwa mnada na Uchina
PATRICK ALUSHULA Na VALENTINE OBARA Kwa muhtasari: Huenda Uchina ikatwaa Bandari ya Mombasa, JKIA, Reli ya SGR na ardhi Kenya...
- by adminleo
- October 19th, 2018
Uhuru kuachia Wakenya deni la Sh7 trilioni aking’atuka 2022
Na BERNARDINE MUTANU DENI la Kenya litaongezeka hadi Sh 7 trilioni ifikapo 2022. Kufikia Juni mwaka 2019, deni hilo litagonga Sh5.6...
- by adminleo
- September 26th, 2018
Uhuru ataachia Wakenya deni la Sh7 trilioni akiondoka mamlakani
CONSTANT MUNDA na PETER MBURU RAIS Uhuru Kenyatta atakuwa amekusanya takriban Sh2.13 trillioni za madeni kufikia wakati atakapomaliza...
- by adminleo
- September 8th, 2018
SYSTEM YA MADENI: Rotich alivyokopa kiholela
Na CHARLES WASONGA KUPANDA kwa madeni ya Kenya kutoka Sh1.77 trilioni mnamo 2013 hadi Sh5.1 trilioni mwaka huu, ndio chanzo cha masaibu...
- by adminleo
- September 4th, 2018
Kopa Ruto tulipe deni la Sh5 trilioni, Wakenya wamshauri Uhuru
Na PETER MBURU HATUA ya serikali kutoza Wakenya ushuru zaidi ili kulipia madeni ya Sh5 trilioni iliyokopa na kufadhili bajeti ya Sh3...
- by adminleo
- August 25th, 2018
‘Biashara ndogo, watu binafsi wamelemewa kulipa madeni ya benki’
Na BERNARDINE MUTANU DENI kubwa katika benki za humu nchini lilitokana na mikopo kwa watu binafsi na biashara ndogo. Deni hilo la...
- by adminleo
- May 29th, 2018
Auawa kwa kuchelewesha kulipa deni la Sh100
Na JADSON GICHANA Biwi la simanzi lilitanda katika kijiji cha Randani, eneo la Kenyenya, Kaunti ya Kisii baada ya mwanamume kuua...