• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM
YANAYOJIRI: Serikali yajiandaa kuzindua mradi wa mafuta ya kupima

YANAYOJIRI: Serikali yajiandaa kuzindua mradi wa mafuta ya kupima

NA MARY WAMBUI

Rais William Ruto na mwenzake wa Indonesia Joko Widodo leo Agosti 21, 2023 wanazindua mradi wa kumimina mafuta ya kupikia kwa viwango vidogo, almaarufu Mama Pima Edible Oil Dispensing Machines ambao utasambaza mafuta kwa vipimo vidogo.

Mashine hizo za kumimina mafuta zitasambazwa na Wizara ya Viwanda.

Serikali inasema kwamba mradi huo ambao ni wa ushirikiano baina ya Kenya na Indonesia utasaidia wanachi wa pato la chini kujinunulia mafuta ya kupikia kwa bei nafuu hali kadhalika kusaidia kupatikana kwa nafasi za ajira.

Habari zaidi katika muda usio mrefu…

  • Tags

You can share this post!

MCA sasa ndio wafalme na malkia wapya vijijini

Maombi mabaya ya Karen Nyamu dhidi ya Man U yaonekana...

T L