KCSE 2023 yaanza usalama ukiimarishwa vituo vya kufanya mitihani
NA SAMMY WAWERU
MITIHANI ya Kitaifa ya Kidato cha Nne (KCSE 2023) imeanza kote nchini, Jumatatu, Novemba 6 usalama ukiimarishwa ndani na nje ya vituo vya kuifanyia.
Katibu katika Wizara ya Elimu, Dkt Bellio Kipsang aliongoza Kaunti Ndogo ya Westlands, Nairobi kuzindua usambazaji wa karatasi za mitihani.
Kalenda ya masomo 2023, imerejea kama ilivyokuwa miaka ya awali hasa baada ya janga la Covid-23 kuisambaratisha.
Zifuatazo ni picha za uzinduzi wa usambazaji mitihani maeneo tofauti nchini.
Next article
Ndindi Nyoro aongoza orodha ya wabunge wachapakazi