• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 5:50 AM

JAMVI: Kusambaratika kwa NASA huenda itakuwa nafuu au kitanzi kwa Raila

Na CHARLES WASONGA VITA vya maneno vilivyotokea majuzi kati ya vigogo wa muungano wa upinzani (NASA), Raila Odinga kwa upande mmoja na...

JAMVI: Kushindwa BBI Baringo ishara Gideon hatoshi mboga

Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Bunge la Kaunti ya Baringo kutupilia mbali Mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI) imedhihirisha kuwa kiongozi...

JAMVI: Ushindi wa BBI rungu la kumtwanga Ruto

Na BENSON MATHEKA USHINDI mkubwa wa kupitishwa kwa mswada wa kubadilisha Katiba wa (BBI) na mabunge zaidi ya 40 ya kaunti, kumewatia...

JAMVI: Mrengo wa Weta, Musalia, Kalonzo, Moi watia Raila, Ruto wasiwasi

Na CHARLES WASONGA HATUA ya viongozi wa vyama vya Wiper, KANU, Amani National Congress (ANC) na Ford Kenya kudokeza kuwa muungano wao...

JAMVI: Nyachae alivyomtayarisha Matiang’i kuwa kiongozi wa jamii ya Abagusii

Na WANDERI KAMAU IMEFICHUKA mwanasiasa mkongwe, Simeon Nyachae, alikuwa ashamtayarisha Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang’i,...

JAMVI: Azma ya Mukhisa Kituyi kuwania urais pigo kwa Mudavadi

SHABAN MAKOKHA Na BENSON MATHEKA HATUA ya Mukhisa Kituyi kujiunga na kinyang’anyiro cha urais mwaka wa 2022 inaweza kupunguza nafasi...

JAMVI: Sonko alivyojipalia makaa mwenyewe

Na BENSON MATHEKA Aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko anajuta kwa vitendo alivyofanya akiwa mamlakani; akiepuka kuadhibiwa kwa...

Ruto alivyozima kabisa juhudi za Gideon Moi kutawala Rift Valley

Na LEONARD ONYANGO NAIBU wa Rais William Ruto ameanza juhudi za kumtenga kiongozi wa chama cha Kanu Gideon Moi katika siasa za Bonde la...

Pigo kuu kwa Raila Uhuru akishindwa kudhibiti Mlima Kenya

Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Rais Uhuru Kenyatta kushindwa kudhibiti eneo la Mlima Kenya imezua tumbojoto katika kambi ya kiongozi wa ODM...

JAMVI: Mikosi ya usaliti kwa miungano ya kisiasa uchaguzi mkuu unapobisha

Na WANDERI KAMAU UCHAGUZI Mkuu wa 2022 unapozidi kukaribia, macho yote yatakuwa kwa miungano ya kisiasa inayoendelea kubuniwa nchini,...

JAMVI: Uhuru alivyosagasaga Sonko, Waititu kisiasa

Na BENSON MATHEKA IKIWA kuna jambo ambalo waliokuwa magavana Mike Sonko (Nairobi) na Ferdinard Waititu (Kiambu) hawatasahau katika...

JAMVI: Mwamko wa Ruto Pwani ni mwisho wa Raila, Joho?

Na WANDERI KAMAU KIVUMBI cha udhibiti wa siasa za Pwani kilianza rasmi Alhamisi ielekeapo 2022, baada ya wabunge wa ‘Tangatanga’...