• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 1:15 PM

Gent anayochezea Okumu yabebesha mabingwa Club Brugge kapu la magoli Ligi Kuu Ubelgiji

Na GEOFFREY ANENE KAA Gent wameaibisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Ubelgiji Club Brugge kwa kuwamiminia magoli 6-1 ugani Ghelamco...