• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 5:50 AM

KINA CHA FIKRA: Profesa Ken Walibora alikichapukia Kiswahili kwa kauli na matendo, Mola azidi kumrehemu

Na WALLAH BIN WALLAH LEO tumeumega mwaka mzima kasoro siku tatu tangu alipoaga dunia Profesa Ken Walibora mwandishi mahiri mtajika wa...

KINA CHA FIKRA: Daima Magufuli atakumbukwa kwa uzalendo na utetezi wake wa Kiswahili

Na WALLAH BIN WALLAH KIONGOZI yeyote awaye mwanamapinduzi na mzalendo halisia mara nyingi hukumbatia na kuonea fahari lugha ya taifa...

WALLAH BIN WALLAH: Tumia Kiswahili kujinyanyua kimaisha, usilaze damu aisee!

NA WALLAH BIN WALLAH KILA kitu kinatafutwa papa hapa duniani. Ukikosa kukipata unachokitaka, usiseme hakipo au hakipatikani ama...

KINA CHA FIKRA: Kujiamini kama kiambata cha ufanisi maishani

Na WALLAH BIN WALLAH WATU wengi wana uwezo wa kuyatenda mambo mazuri makubwa maishani lakini wanashindwa kwa sababu...

KINA CHA FIKIRA: Uzuri na ubaya wa mtu umo ndani ya mtu mwenyewe!

Na WALLAH BIN WALLAH SIFA za upole na ujeuri zimefichamana ndani ya mtu! Hazionekani mpaka zichokorwe na kuchokozwa ndipo zilipuke...

KINA CHA FIKIRA: Ukijiamini kwa lolote utafanikiwa hivyo hivyo ulivyo

Na WALLAH BIN WALLAH MAFANIKIO hupatikana kwa bidii pamoja na jinsi mtu anavyojiamini katika shughuli au kazi anazofanya...

WALLAH BIN WALLAH: Usitumie nguvu za kifua unapofanya kazi, ni akili tu!

NA WALLAH BIN WALLAH KATIKA maisha ukitumia akili kidogo tu vizuri utafanya kazi kubwa vizuri bila kuchoka wala kuumia. Lakini ukitumia...

KAULI YA WALLAH: Jogoo mwoga aghalabu huwa ndiye mfalme

NA WALLAH BIN WALLAH WAHENGA walisema kwa mwoga huenda kicheko kwa shujaa huenda kilio. Ukweli ni kwamba waoga hufa mara nyingi sana...

KINA CHA FIKIRA: Jitahidi ule jasho lako, vya wengine vitakusakama

Na WALLAH BIN WALLAH MAISHA si mteremko. Ni safari ngumu kama kuukwea mlima! Lakini unavyozidi kuukwea mlima ndivyo unavyosonga zaidi...

KINA CHA FIKIRA: Ishi ukienda mbele badala ya kurudi nyuma!

Na WALLAH BIN WALLAH MAISHA ni safari ya kuenda mbele moja kwa moja mpaka mwisho! Kila mtu anapaswa kutimiza wajibu wake wakati huu...

KINA CHA FIKIRA: Shirikiana na watu bora ili nawe uwe bora, visivyo utasalia bure tu!

NA WALLAH BIN WALLAH KATIKA maisha ubora hutafutwa kwa hali na mali. Lazima ukae na watu walio bora mahali palipo na ubora ndipo...

KINA CHA FIKIRA: Tumia ubora ulio nao kufanyia kazi bora ili ufanikiwe

Na WALLAH BIN WALLAH BINADAMU ana ubora wa kipekee. Hawezi kupaa angani kama ndege wanaotumia mbawa zao kupaa angani. Lakini binadamu...