Tag: kenya
- by adminleo
- June 28th, 2019
SHWARI: Faraja yarejea baada ya Kenya kupiga Tanzania
Na JOHN ASHIHUNDU ALIYEKUWA nahodha wa Harambee Stars, Musa Otieno amesema ana matumaini makubwa ya timu hiyo kupata matokeo mazuri...
- by adminleo
- June 22nd, 2019
Kenya yaingia mduara wa medali voliboli ya ufukweni ya wanawake
Na GEOFFREY ANENE KENYA imeingia mduara wa medali kwenye voliboli ya ufukweni ya wanawake katika mashindano ya Bara Afrika ya ufukweni...
- by adminleo
- June 13th, 2019
Pigo jingine kwa riadha ya Kenya mkimbiaji Kirwa akipatikana na hatia ya kujisisimua kwa kutumia dawa ya panya
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa mbio za kilomita 42 za Singapore mwaka 2016, Felix Kirwa ni mwanariadha wa hivi punde kutoka Kenya kupigwa...
- by adminleo
- April 24th, 2019
Uthabiti wa shilingi ya Kenya watajwa kuwa ‘sumu’ Jumuiya
Na MWANGI MUIRURI UTHABITI wa Shillingi ya Kenya katika soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umetajwa kama kiini cha...
- by adminleo
- March 26th, 2019
FAHARI TELE: Historia mataifa yote ya Afrika Mashariki kutua fainali AFCON
Na MASHIRIKA DAR ES SALAAM, TANZANIA TANZANIA waliwapepeta Uganda 3-0 jijini Dar es Salaam mnamo Jumapili na kufuzu kwa fainali za Kombe...
- by adminleo
- March 14th, 2019
Rais Emmanuel Macron kuhudhuria kongamano UoN
Na PETER MBURU RAIS wa Ufaransa Emmanuel Macron ambaye amekuwa nchini tangu Jumatano kwa ziara ya siku mbili, leo Alhamisi anatarajiwa...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Kenya yapangwa na Burundi katika mchujo wa CHAN
Na WAANDISHI WETU KENYA watakuwa wenyeji wa Burundi kati ya Julai 26-28 katika mkondo wa kwanza wa mchuano wa kufuzu kwa fainali za CHAN...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Kenya yaionya Tanzania kwenye mzozo wa pipi
Na BERNARDINE MUTANU Kenya imeipa makataa ya wiki mbili serikali ya Tanzania kufanyia udadisi bidhaa za Kenya kubainisha ikiwa...
- by adminleo
- February 11th, 2018
KINAYA: Naona ni heri tuiuze Kenya kila mtu agawiwe hela arudi kwao
[caption id="attachment_1223" align="aligncenter" width="800"] Wakili mbishi na mwanasiasa wa NASA aliyefurushwa kutoka humu nchini na...