• Nairobi
  • Last Updated May 12th, 2024 5:17 PM
Mahasimu wanalenga kunizuia kuwania urais – Trump

Mahasimu wanalenga kunizuia kuwania urais – Trump

Na MASHIRIKA

ALBANY, NEW YORK

RAIS wa zamani wa Amerika, Donald Trump, amejitetea akidai kuwa hatua ya kumshtaki inalenga kuhujumu azma yake ya kuwania kiti cha urais mwaka 2024.

Rais huyo wa zamani alifikishwa mahakamani kwa mashtaka ya kumlipa mwanamke mmoja nyota wa filamu za ngono kabla ya uchaguzi ili kumnyamazisha asitoboe siri.

Trump amewakosoa waendesha mashtaka nchini humo akisema “wanakiuka Sheria ya nchi hiyo.”

  • Tags

You can share this post!

Wakuu Telkom Kenya wamulikwa kuhusu mabilioni ya pesa za...

CECIL ODONGO: Raila hana lake kwenye vikao vya maridhiano...

T L