• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 6:55 AM
Ukraine yashtumu Urusi kwa kulenga kituo cha nyuklia

Ukraine yashtumu Urusi kwa kulenga kituo cha nyuklia

Na MASHIRIKA

KYIV, UKRAINE

SERIKALI ya Ukraine imeishutumu Urusi kwa shambulio katika kiwanda cha nyuklia.

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine alisema hakuna aliyejeruhiwa.

Kituo hiki cha nguvu za nyuklia ni cha pili kwa ukubwa nchini Ukraine baada ya kiwanda cha Zaporizhzhia, ambacho kimekuwa kikishambuliwa mara kwa mara.

  • Tags

You can share this post!

Mwendwa aahidi kuongea na FIFA kuondoa marufuku

Roho mkononi Simbas wakisubiri kambi ya mazoezi raga SA

T L