Na MASHIRIKA
KYIV, UKRAINE
SERIKALI ya Ukraine imeishutumu Urusi kwa shambulio katika kiwanda cha nyuklia.
Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine alisema hakuna aliyejeruhiwa.
Kituo hiki cha nguvu za nyuklia ni cha pili kwa ukubwa nchini Ukraine baada ya kiwanda cha Zaporizhzhia, ambacho kimekuwa kikishambuliwa mara kwa mara.