Tag: Kina cha Fikira
- by adminleo
- October 9th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Sawa na Kiingereza, kuna Kiswahili na ‘Viswahili’ ainati
Na KEN WALIBORA NI rahisi sana kudhani kwamba ipo lugha moja hivi iitwayo Kiingereza duniani. Ni hayati Mwalimu Julius Nyerere ndiye...
- by adminleo
- October 2nd, 2019
KINA CHA FIKIRA: Tafsiri za kizuzu adui mkubwa wa lugha ya Kiswahili
Na KEN WALIBORA WAKENYA ni wabunifu sana. Hunishangaza kwa ubunifu wao uliopitiliza. Hivi punde tu nimemsikia mama mmoja akiniambia,...
- by adminleo
- September 25th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Hadhari mno ahadi za serikali kuhusu Baraza la Kiswahili
Na KEN WALIBORA WATU wenye matumaini wanapenda kutumaini pawepo au pasiwepo msingi wa kutumaini. Hawataki kuitwa wendaguu, yaani watu...
- by adminleo
- September 18th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Tuwanie kuunda Baraza la Kiswahili wala si la Lugha
Na KEN WALIBORA WIKI iliyopita Baraza la Kiswahili la Taifa (Bakita)—Tanzania, lilinialika kushiriki tamasha za Kiswahili na Utamaduni...
- by adminleo
- September 4th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Kinaya cha waandishi wa Kenya na Tanzania kuongoza katika kukivyoga Kiswahili
Na KEN WALIBORA MNAMO Mei 21, 2019, nilimwandikia mkubwa mmoja wa kituo cha runinga ujumbe huu: “Watu wako wanaandika kero la. Je ni...
- by adminleo
- August 28th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Wanamuziki wa Kenya wawaige wenzao wa TZ wenye weledi mkubwa wa kukisarifu Kiswahili
Na KEN WALIBORA WASANII wa Kiswahili wanaoimba muziki wamekuwa wakitia fora sana katika tasnia ya muziki. Si aghalabu kukutana na...
- by adminleo
- August 21st, 2019
KINA CHA FIKIRA: Japo safari bado ndefu, ni hatua nzuri kwa SADC kupaisha Kiswahili Afrika
Na KEN WALIBORA MAPEMA Machi 2019 nilialikwa kutoa mada elekezi katika kongomano la wanahabari wanaotumia Kiswahili. Mwenyeji wangu...
- by adminleo
- August 14th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Wakenya wamezoea kuhalalisha makosa ya lugha katika usemaji wao wa Kiswahili
Na KEN WALIBORA KWENYE Kaunti ya Trans-Nzoia (zamani wilaya) nilikolelewa nilikuwa nasikia maneno fulani niliyodhani ni ya Kiswahili...
- by adminleo
- August 7th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Umilisi wa Kiswahili u katika kuyamudu mambo ya msingi
Na KEN WALIBORA HATUNA budi kurudi kwa mambo ya msingi. Mambo ya msingi yakitupita hata tujaribu vipi kujishaua hatuwezi kuwa weledi...
- by adminleo
- July 31st, 2019
KINA CHA FIKIRA: Walimu wa Kiswahili daima tufanye utafiti tuepuke kujiumbua
Na KEN WALIBORA KATIKA kikundi kimoja cha mtandaoni mtu ameuliza, “Neno Bomet lina silabi ngapi?” Hili karibu lifanane na lile swali...
- by adminleo
- July 24th, 2019
KINA CHA FIKIRA: ‘Mzungumzishi’ halina mashiko kurejelea spika
Na KEN WALIBORA NILIKUTANA na vitabu vya mwandishi Zacharia Zani enzi ya masomo yangu ya sekondari. Mfululizo wa vitabu vyake ulitawala...
- by adminleo
- July 17th, 2019
KINA CHA FIKIRA: Viongozi wa Afrika Mashariki ni wasaliti wa Kiswahili barani
Na KEN WALIBORA MUUNGANO wa Afrika umepanga mikakati kabambe ya kukipa Kiswahili kipaumbele kama lugha ya mawasiliano mapana barani....