Tag: kipwani
- by adminleo
- November 15th, 2019
KIPWANI: Lengo langu kusaidia maskini, si kujitanua
SHAWN Gabriel almaarufu Tyrell asema amejitosa kwenye fani ya usanii sio kujitajirisha bali afanikiwe kuwa msanii maarufu ili kipato...
- by adminleo
- November 8th, 2019
KIPWANI: Hupata nyimbo katika ndoto na zikawa hiti
Na ABDULRAHMAN SHERIFF AMEBAHATIKA mara tatu kujiwa na nyimbo akiwa usingizini na alipoamka, aliweza kuzihifadhi na kuhakikisha...
- by adminleo
- October 4th, 2019
KIPWANI: ‘Wasubiri bonge la surprise Krismasi’
Na ABDULRAHMAN SHERIFF JUAN Mutua ni miongoni mwa wale wanaoamini ikiwa sehemu uliyoko haina nyota nawe, ni muhimu na vizuri kubadilisha...
- by adminleo
- September 20th, 2019
KIPWANI: Mzaliwa wa Congo ila kakita kambi ufuoni
Na ABDULRAHMAN SHERIFF HUWA si jambo la kustaajabia raia kutoka DR Congo anapojitosa kwenye muziki. Taifa hili linajulikana kwa...
- by adminleo
- September 6th, 2019
KIPWANI: Achanganya beats kunasa mashabiki
Na ABDULRAHMAN SHERIFF BAADA ya miaka mitano ya ku-rap, Beatrice Jeremiah Kimaro al-maarufu Mamalao amewashangaza mashabiki wake kwa...
- by adminleo
- August 16th, 2019
KIPWANI: ‘Kama si mama, singekuwa hapa’
Na ABDULRAHMAN SHERIFF HUWA ni rahisi mno kwa msanii chipukizi kupiga hatua za haraka endapo mlezi wake atampa sapoti. Kwa Mohammed...
- by adminleo
- August 2nd, 2019
KIPWANI: Katia makali kijijini ila sasa awika mjini
Na ABDULRAHMAN SHERIFF KIPAJI chake kiligunduliwa akiwa bado anaishi kijijini na sasa Ahmad Masoud Juma al-maarufu Qari Ibnu Masoud ni...
- by adminleo
- July 19th, 2019
KIPWANI: Azma kuu ni kufanya kolabo na Akothee
Na ABDULRAHMAN SHERIFF NI mmojawapo wa wasanii chipukizi Pwani wanaokuja kwa kasi ya ajabu. Kutana na Ian Ngesa al-maarufu...
- by adminleo
- July 5th, 2019
MSANII WA WIKI: ‘Nilijisuta sana baada ya rafiki yangu kuaga dunia’
Na ABDULRAHMAN SHERIFF TAJRIBA ya msanii na mazingira anamoishi huathiri pakubwa anavyousawiri ulimwengu na uamuzi na hatua anazochukua...
- by adminleo
- May 24th, 2019
KIPWANI: ‘Hiki kimya si bure, narudi kwa vishindo’
Na ABDULRAHMAN SHERIFF WASANII wengi iwe ni mwanamuziki, mchoraji au mwigizaji huwa na sababu maalumu za kuwa na jina la utani au ukipenda...
- by adminleo
- April 19th, 2019
KIPWANI: Usistaajabu wasanii tele wa injili, ni Neno
Na ABDULRAHMAN SHERIFF KUNGELIKUWA na wasanii wengi wenye vipaji mkoani Pwani endapo vyombo vya habari vingelikuwa vikiwaangazia wasanii...
- by adminleo
- March 29th, 2019
KIPWANI: ‘Mungu aliniepusha na penzi karaha…’
Na ABDULRAHMAN SHERIFF WENYEWE wanasema mapenzi kizunguzungu na yakikupata ni kana kwamba kapagawa na pepo husikii la mwadhini ama la...