Tag: kombe la dunia
- by adminleo
- June 15th, 2018
Morocco sasa yaangazia kuandaa Kombe la Dunia 2030
Na GEOFFREY ANENE MOROCCO bado ina matumaini ya kuandaa Kombe la Dunia siku moja hata baada ya juhudi zake kugonga mwamba mara tano. Saa...
- by adminleo
- June 15th, 2018
Ni kicheko tu kwa Morocco kuona Saudia ikinyeshewa 5-0 na Urusi
Na GEOFFREY ANENE SAA chache baada ya Saudi Arabia kukosa kipigia kura ya kuamua mwenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2026, Morocco...
- by adminleo
- June 14th, 2018
URUSI 2018: Fahamu vikosi vya timu zote zinazocheza fainali
Na CHRIS ADUNGO KUFIKIA Mei 28, 2018 mataifa yote 32 yatakayonogesha fainali za Kombe la Dunia mwaka huu yalikuwa yametoa orodha za...
- by adminleo
- June 13th, 2018
URUSI 2018: Ujerumani kukaa ange kutetea ubingwa
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia, Ujerumani ni miongoni mwa mataifa yatakayoelekezewa jicho la karibu sana nchini...
- by adminleo
- June 13th, 2018
URUSI 2018: Mastaa watakaonogesha dimba
Na CHRIS ADUNGO WAKATI kipenga cha kuashiria mwanzo wa fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi kitakapopulizwa rasmi Alhamisi, wadadisi...
- by adminleo
- June 7th, 2018
KOMBE LA DUNIA: Eriksen aondoka kambini kusherehekea mtoto wa kwanza
Na GEOFFREY ANENE CHRISTIAN Eriksen amekimbia nyumbani nchini Denmark kujiandaa kusherehekea kupata mtoto wake wa kwanza. Vyombo vya...
- by adminleo
- June 5th, 2018
DSTV na GOtv kupeperusha Kombe la Dunia kwa Kiswahili
NA PETER MBURU WATUMIZI wa mitambo ya televisheni ya DSTV na GOtv na wapenzi wa kandanda wana habari njema kwani mwaka huu wataweza kupata...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
KOMBE LA DUNIA: Ubelgiji yamwacha nje Origi
Na GEOFFREY ANENE MKENYA wa kwanza na wa pekee kuwahi kufunga bao katika Kombe la Dunia, Divock Origi hatashiriki makala ya mwaka 2018...
- by adminleo
- May 21st, 2018
Wakenya 2 wajishindia tiketi ya kutazama Kombe la Dunia Urusi
[caption id="attachment_6063" align="aligncenter" width="800"] Afisa Mkuu wa Biashara ya Mauzo wa KCB Wanyi Mwaura (katikati) akipiga picha...
- by adminleo
- May 12th, 2018
Mary Njoroge ateuliwa kusimamia mechi za Kombe la Dunia U-20
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Mary Njoroge yuko katika orodha ya maafisa sita kutoka Bara Afrika walioteuliwa kusimamia mechi katika Kombe la...
- by adminleo
- May 11th, 2018
NTV kuwapa raha mashabiki kwa kuonyesha mechi za Kombe la Dunia
Na JOHN ASHIHUNDU Sasa ni nafuu kwa mashabiki sugu wa soka nchini baada ya runinga ya NTV kutangaza kwamba itapeperusha moja kwa moja...
- by adminleo
- April 5th, 2018
Coca-Cola yatoa Sh42 milioni kushindaniwa na Wakenya wakisubiri Kombe la Dunia
Na CHRIS ADUNGO KAMPUNI ya vinywaji ya Coca-Cola itawatuza watumiaji wa bidhaa zake milioni mbili, mwaka huu katika kipute cha...