Tag: kuria
- by adminleo
- September 3rd, 2018
Wakenya wabebe mzigo wa mafuta ghali bila kulalamika – Moses Kuria
Na PETER MBURU Mbunge mbishi wa Gatundu Kusini amewaghadhabisha Wakenya, baada ya kusema kuwa hawezi kuwatetea kutokana na kupandishwa kwa...
- by adminleo
- July 23rd, 2018
Kuria ajuta kumsimanga Raila
Na BENSON MATHEKA MBUNGE wa Gatundu Kusini, Moses Kuria, amefichua kuwa licha ya tabia yake ya kumkashifu kiongozi wa upinzani Raila...
- by adminleo
- July 17th, 2018
Kuria akaangwa kusema Obama alitoa hotuba ya kudhalilisha Nyanza
NA PETER MBURU Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria amejipata kubanwa na Wakenya katika mtandao wa Facebook, baada ya kuchapisha ujumbe wa...
- by adminleo
- June 27th, 2018
Wasiwasi mpya wa mgawanyiko wazuka Jubilee
WYCLIFF KIPSANG, ONYANGO K’ONYANGO na LUCY KILALO MATAMSHI yanayokisiwa kuwa ya mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria, yameendeleza...
- by adminleo
- May 29th, 2018
NYS yafaa kuvunjwa na fedha hizo kufadhili elimu – Moses Kuria
NA PETER MBURU WAKENYA kupitia mitandao ya kijamii wamechangamkia pendekezo la mbunge mtatanishi wa Gatundu Kusini Moses Kuria kuwa...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Wabunge wa Ruto Mlima Kenya wakaangwa mitandaoni
[caption id="attachment_4821" align="aligncenter" width="800"] Katuni ya kejeli iliyotundikwa mitandaoni Alhamisi. Grafiki/ Peter...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Korti yaruhusu NCIC na Kuria kusuluhisha kesi ya uchochezi
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA imemkubalia Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria kuendelea na mashauriano pamoja na Tume ya Kitaifa ya Uwiano...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Kuria apokelewa vizuri Nyanza baada ya muafaka
NA PETER MBURU MUAFAKA baina ya mkono kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga umewanusuru viongozi wengi waliochukiwa...
- by adminleo
- April 11th, 2018
OBARA: Hali halisi ya kaulimbiu ‘Vindu Vichenjanga’ katika siasa za Kenya
Na VALENTINE OBARA KAULIMBIU ya ‘Vindu Vichenjanga’ au ‘Mambo Yabadilika’ ilipovumishwa na Muungano wa NASA wakati wa Uchaguzi...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Viongozi wa Jubilee wamponda Maraga, wamsifu Matiang’i
Na PETER MBURU VIONGOZI wa Jubilee wamemkabili vikali Jaji Mkuu David Maraga kwa kutetea majaji ambao wanadaiwa kutoa maagizo ya kuzuia...